Skip to main content

NAFASI ZA KAZI ZA NDANI

 

        NAFASI ZA KAZI ZA  NDANI  ( NDANI YA CHANIKA)

( Kwenda na Kurudi au Kulala  Nyumbani kwa Mwajiri )

        Sifa  za mwombaji wa Nafasi ya kazi ya ndani.

1.                   Umri kuanzia miaka 18 na kuendelea

2.                 Ujue kusoma na kuandika

3.                 Uwe na akili timamu.

4.                Uwe nadhifu, mtiifu na mwaminifu.

5.                 Uwe unaishi ndani ya Chanika, na uwe tayari kufanya kazi ya msaidizi wa kazi za ndani ndani ya Chanika.

Kama una sifa hizo, basi tuletee barua yako ya maombi ofisini kwetu. Barua yako ya maombi iambatane na passport size zako nne za rangi, barua kutoka serikali ya mtaa unaoishi, pamoja na barua ya wadhamini wako wawili ambao wanaishi ndani ya Chanika.

Tunapatikana Nzasa kwa Mwarabu. Jinsi ya kufika ofisini kwetu, panda bajaji za kwenda Nzasa, kisha shuka Nzasa kwa Mwarabu, halafu piga simu namba 0693-005 189.

Tovuti : www.rafikielimu.blogspot.com

E.mail: rafikielimutanzania@gmail.com

Instagram : RafikiElimu EDUCATION Consultancy

 

# LETA MAOMBI YAKO MAPEMA, KABLA NAFASI HAZIJAISHA

Comments

Popular posts from this blog

SOMO LA TATU : UTENGENEZAJI WA UNGA LISHE.

Mahindi   ni  miongoni  mwa  mazao ya  chakula  ambayo  unga  wake  unatumika  kutengeneza    unga  lishe. UNGA  LISHE  :  Ni  unga  bora  na  unao  hitajika  sana  katika  kuborehs  afya  za  watoto, wazee  na  wagonjwa.  Ukiwa  kama  mjasiriamali  mdogo, ni  muhimu  kujua  namna  ya  kutengeneza  unga  lishe, kwani  malighafi  zinazo  tumika  katika  utayarishaji  wa  unga  huu  zinapatikana  kwa  wingi  na  kwa  bei  nafuu, hivyo  basi  hata  kwa  wewe  mwenye  mtaji  mdogo,  unaweza   kufanya  biashara  hii   bila  ya  kuhitajika  kuwa  na  mtaji  mkubwa  jambo  linalo  chukuliwa...

SOMO LA KWANZA : UTENGENEZAJI WA SABUNI ZA AINA ZOTE.

 MASOMO  YATAKAYO  FUNDISHWA  HAPA  NI : 1 1. Utengenezaji  Wa Sabuni  isiyo na garama. 22. Utengenezaji  Wa Sabuni ya urembo. 33. Utengenezaji  Wa  Sabuni ya asali na cream. 4 4.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ya manukato. 5 5.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ngumu. 66.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ya unga 77. Utengenezaji   Wa Sabuni ya kugandisha. 8 8. Utengenezaji    Wa  Sabuni za dawa. 99. Utengenezaji  Wa  Sabuni za rangi. 110.  Utengenezaji  Wa Cream ya kunyolea. 111. Utengenezaji  Wa  Sabuni iliyotengenezwa na mafuta mengine.  VIFAA     VYA     UTENGENEZAJI   SABUNI. *Sufuria. *Bakuli kubwa la mfinyanzi au plastiki. *Mafuta *Maji. *Sodium hydroxide{NaOH} *Ubao mdogo/mwiko.  *Chombo chenye ukubwa cha plastiki. *Kifyatulio. *Ki...

SOMO LA TISA : USINDIKAJI WA MAZAO YA NAFAKA

Mahindi  yaliyo  toka  kuvunwa. 1 .   USINDIKAJI  WA   ZAO  LA  MAHINDI : Ili kuongeza matumizi ya mazao hayo na kudumisha ubora wake ni muhimu teknolojia za kusindika nafaka zitumike. Usindikaji pia huongeza thamani ya zao.                             KUSINDIKA MAHINDI Punje za mahindi hutumika kupika makande na husindikwa kupata unga unaotumika katika matumizi mbalimbali. Vile vile bidhaa nyingine zinazotokana na mahindi ni mafuta na wanga. KUSINDIKA MAHINDI KUPATA UNGA Kuna aina mbili za unga wa mahindi, unga wa mahindi yasiyokobolewa(Dona) na unga wa mahindi yaliyokobolewa (Sembe)  KUSINDIKA MAHINDI KUPATA UNGA WA DONA Vifaa • Mashine ya kukoboa • Mashine ya kusaga • Ungo • Debe • Mifuko • Chekeche ya nafaka Jinsi ya kusindika • Pepeta na pembua mahindi ili kuondoa vumbi na takataka nyingine kwa kutumia chekeche, ungo a...