Skip to main content

KUFAULU FORM 4 NI LAZIMA

 

KUFAULU FORM 4 NI LAZIMA

 

Wanafunzi wengi hufeli kidato cha nne kwa sababu ya kukosa usimamizi sahihi wa maendeleo yao ya kitaaluma.

Kwa sababu hiyo basi, taasisi ya Rafiki Elimu EDUCATION Consultancy imekuja na programu  maalumu ya kutoa usimamizi wa maendeleo ya kitaaluma kwa wanafunzi wa shule za sekondari wanao hitaji kusimamiwa kitaaluma.

RafikiElimu EDUCATION Consultancy ni taasisi inayo husika na usimamizi wa maendeleo ya kitaaluma kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Lengo la taasisi hii ni kuhakikisha wanafunzi inao wasimamia, wanapata ufaulu wa juu kabisa katika mitihani yao ya kuhitimu kidato cha nne.

Ewe mzazi, ewe mlezi, ambae unatamani kuona kijana wako akipata ufaulu wa juu kwenye mitihani yake ya kidato cha nne, njoo muandikishe kwenye programu yetu. Pamoja na mambo mengi muhimu ya kitaaluma, wanafunzi watakao jiunga na programu hii watafaidika kwa kupata program zote muhimu za kitaaluma kama zinavyo tolewa kwenye shule za sekondari zinazo fanya vizuri kitaaluma nchini. Programu hii haingiliani na ratiba ya darasani ya mwanafunzi. Gharama za kujiunga na programu hii ni nafuu sana na inalipwa kwa mwezi. Fomu za kujiandikisha kwenye programu hii, zinapatikana kwenye ofisi za tawi letu jipya la Chanika, zilizopo katika eneo la Nzasa Kwa Mwarabu.

 Kufika ofisini kwetu, panda bajaji za Nzasa kisha shuka Nzasa kwa Mwarabu halafu piga 0693 005  189.

 

Ewe mzazi, ewe mlezi, muandikishe mwanao  kwenye programu hii, ili apate ufaulu wa juu kwenye mitihani yake ya kuhitimu kidato cha nne.

 

Tovuti : www.rafikielimu.blogspot.com

E.mail : rafikielimutanzania@gmail.com

Instagram Page : RafikiElimu  EDUCATION Consultancy

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Comments

Popular posts from this blog

SOMO LA TATU : UTENGENEZAJI WA UNGA LISHE.

Mahindi   ni  miongoni  mwa  mazao ya  chakula  ambayo  unga  wake  unatumika  kutengeneza    unga  lishe. UNGA  LISHE  :  Ni  unga  bora  na  unao  hitajika  sana  katika  kuborehs  afya  za  watoto, wazee  na  wagonjwa.  Ukiwa  kama  mjasiriamali  mdogo, ni  muhimu  kujua  namna  ya  kutengeneza  unga  lishe, kwani  malighafi  zinazo  tumika  katika  utayarishaji  wa  unga  huu  zinapatikana  kwa  wingi  na  kwa  bei  nafuu, hivyo  basi  hata  kwa  wewe  mwenye  mtaji  mdogo,  unaweza   kufanya  biashara  hii   bila  ya  kuhitajika  kuwa  na  mtaji  mkubwa  jambo  linalo  chukuliwa...

SOMO LA KWANZA : UTENGENEZAJI WA SABUNI ZA AINA ZOTE.

 MASOMO  YATAKAYO  FUNDISHWA  HAPA  NI : 1 1. Utengenezaji  Wa Sabuni  isiyo na garama. 22. Utengenezaji  Wa Sabuni ya urembo. 33. Utengenezaji  Wa  Sabuni ya asali na cream. 4 4.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ya manukato. 5 5.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ngumu. 66.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ya unga 77. Utengenezaji   Wa Sabuni ya kugandisha. 8 8. Utengenezaji    Wa  Sabuni za dawa. 99. Utengenezaji  Wa  Sabuni za rangi. 110.  Utengenezaji  Wa Cream ya kunyolea. 111. Utengenezaji  Wa  Sabuni iliyotengenezwa na mafuta mengine.  VIFAA     VYA     UTENGENEZAJI   SABUNI. *Sufuria. *Bakuli kubwa la mfinyanzi au plastiki. *Mafuta *Maji. *Sodium hydroxide{NaOH} *Ubao mdogo/mwiko.  *Chombo chenye ukubwa cha plastiki. *Kifyatulio. *Ki...

SOMO LA TISA : USINDIKAJI WA MAZAO YA NAFAKA

Mahindi  yaliyo  toka  kuvunwa. 1 .   USINDIKAJI  WA   ZAO  LA  MAHINDI : Ili kuongeza matumizi ya mazao hayo na kudumisha ubora wake ni muhimu teknolojia za kusindika nafaka zitumike. Usindikaji pia huongeza thamani ya zao.                             KUSINDIKA MAHINDI Punje za mahindi hutumika kupika makande na husindikwa kupata unga unaotumika katika matumizi mbalimbali. Vile vile bidhaa nyingine zinazotokana na mahindi ni mafuta na wanga. KUSINDIKA MAHINDI KUPATA UNGA Kuna aina mbili za unga wa mahindi, unga wa mahindi yasiyokobolewa(Dona) na unga wa mahindi yaliyokobolewa (Sembe)  KUSINDIKA MAHINDI KUPATA UNGA WA DONA Vifaa • Mashine ya kukoboa • Mashine ya kusaga • Ungo • Debe • Mifuko • Chekeche ya nafaka Jinsi ya kusindika • Pepeta na pembua mahindi ili kuondoa vumbi na takataka nyingine kwa kutumia chekeche, ungo a...