Skip to main content

Posts

Showing posts from March, 2024

NAFASI ZA KAZI MTAFITI MSAIDIZI : NAFASI KUMI NA MBILI ( ATHARI ZA MIMBA ZA UTOTONI)

  NAFASI ZA KAZI MTAFITI MSAIDIZI : NAFASI KUMI NA MBILI ( ATHARI  ZA MIMBA  ZA UTOTONI, ENEO LA MZINGATIO, LINDI & MTWARA) RafikiElimu Education Consultancy ni Taasisi binafsi inayo jihusisha na usimamizi wa maendeleo ya kitaaluma kwa wanafunzi wanao soma  QT pamoja na wale wanao jiandaa kurudia mitihani ya sekondari ( Re-seaters).  Taasisi ina andaa kitabu pamoja na documentary maalumu  kuhusu  ATHARI ZA MIMBA ZA UTOTONI katika wilaya mbalimbali zilizopo katika mikoa ya Lindi na Mtwara.   Kupitia project hii, Taasisi inatangaza nafasi kumi na mbili za kazi ya “ Mtafiti Msaidizi” atakae msaidia mwandishi mkuu wa kitabu hiki kupata taarifa muhimu zitakazo muwezesha kukamilisha zoezi la kuandika kitabu hiki.   MAJUKUMU YA KAZI HII : ni pamoja na kuwatafuta  wahanga  wakuu wa tatizo la mimba za utotoni yani wasichana waliopata mimba utotoni na kuharibiwa ndoto zao za kuendelea na masomo yao kwa ajili ya kufanya mahojiano na mwandishi mkuu wa kitabu hiki.  SIFA ZA MWOMBAJI :  1.

NAFASI ZA KAZI ( WASAIDIZI WA KAZI ZA OFISINI/ OFFICE MESSENGERS/ MESENJA WA OFISINI)

  NAFASI  ZA  KAZI ( WASAIDIZI WA KAZI ZA OFISINI/ OFFICE MESSENGERS/MESENJA WA OFISINI) RafikiElimu Education Consultancy ni   Taasisi inayo jihusisha na usimamizi wa maendeleo ya kitaaluma kwa wanafunzi wanao soma QT ( Qualifying Test) pamoja na wale wanao jiandaa kurudia mitihani yao ya sekondari ( Re-seaters). Taasisi inaratibu na kusimamia program maalumu ya kuwasaidia   wahitimu walio feli kidato cha nne, kupata nafasi za kazi ya UMESENJA WA   OFISINI kwenye ofisi mbalimbali ili waweze kupata kipato   kitakacho wasaidia kujiendeleza kitaaluma   kupitia taasisi yetu.   Majukumu ya kazi hii ni pamoja na : kufanya usafi wa ofisi , kupika chakula cha wafanyakazi,kufua nguo za wafanyakazi, kupokea wageni wa ofisi, kutumwa kazi mbalimbali za ofisi ndani na nje ya ofisi, nakadhalika.      SIFA ZA MWOMBAJI 1. Awe wa jinsia   yoyote ( yani wa kike au wa kiume) 2.   Awe muhitimu alie feli kidato cha nne kwa kupata Division Zero au Four   mwenye nia ya dhati ya kurudia m