ORODHA YA MAJINA YA WAJASIRIAMALI WA JIJINI DAR ES SALAAM WALIO JIANDIKISHA KATIKA MRADI WA ELIMU YA UJASIRIAMALI MIJINI NA VIJIJINI.
Yafuatayo ni majina ya vijana wa kitanzania walio jiandikisha katika awamu ya kwanza ya Mradi wa Elimu ya Ujasiriamali Mijini & Vijijini " EUMIVI PROJECT . mbao utaanza rasmi siku ya jumamosi ya tarehe 01 Septemba 2012 kuanzia saa nne kamili asubuhi katika Shule Ya Msingi Mlimani iliyopo katika eneo la Chuo Kikuu Cha Dar Es salaam. Kwa jijini Dar Es salaam, mafunzo yatachukua siku tatu, kuanzia tarehe 01 Septemba 2012 hadi tarehe 03 Septemba 2012. Baada ya hapo mradi utaendelea katika miji ya Arusha, Morogoro, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Shinyanga ORODHA HII NI KWA WAOMBAJI KUTOKA JIJINI DAR ES SALAAM. 1. MIRIAM SYLLERSAID MZIRAY 2. OTMARY CHRISPIN KIOWI. 3. MONICA ELIAH NG'ONA. 4. SHEBA SHAABAN. 5. FRIDA EMMANUEL MUGARULA. 6. AYUB G. KAYOMBO. 7.AMIRI M. MAGORWA. 8. FRANK KAYUMBA. 9.ELIZABETH PATRICK. 10. SHEHA MOHAMED. 11. RO