Skip to main content

Vijana kutoka Dar Es Salaam, Mwanza, Mbeya, Kagera : Vinara kwenye mafunzo ya utengenezaji wa pipi za kihindi.




Mikoa ya Dar Es Salaam, Mwanza, Mbeya na Kagera  imeongoza kwa kutoa  idadi kubwa ya vijana wanao shiriki katika mafunzo ya UTENGENEZAJI WA PIPI ZA KIHINDI. 


Mafunzo ya kutengeneza Pipi za Kihindi ni mafunzo yanatolowea na Taasisi ya Facility Elimu Education Consultancy, yenye makao yake makuu, Chanika, wilaya ya Ilala, mkoani Dar Es Salaam. 


Katika mafunzo hayo yanatolewa kwa njia ya masafa marefu ( Distance Learning Program), idadi kubwa ya washiriki wa mafunzo hayo wanatoka katika mkoa wa Dar Es Salaam, huku ikifuatiwa na mikoa ya Mwanza, Mbeya na Kagera. 


Pipi za Kihindi ni pipi zinazo pendwa sana na wanafunzi wa shule za msingi na sekondari. 

Vijana wanao shiriki kwenye mafunzo haya, utumia ujuzi huo, kutengeneza pipi hizo majumbani mwao na kisha kwenda kuziuza kwenye shule za msingi na / au sekondari. 


Mafunzo haya yame anzishwa maalumu kwa ajili ya kuwasaidia vijana walio feli kids to cha nne kwa kupata Division 4 na Zero, kupata ujuzi utakao wawezesha kujiajiri wenyewe jambo litakalo wawezesha kutengeneza vipato vyao wenyewe. 


Imetolewa na;

Uongozi, 

Rafiki Elimu Education Consultancy. 


E. Mail : rafikielimutanzania@gmail.com


Simu : 0693 005 189


Comments

Popular posts from this blog

SOMO LA TATU : UTENGENEZAJI WA UNGA LISHE.

Mahindi   ni  miongoni  mwa  mazao ya  chakula  ambayo  unga  wake  unatumika  kutengeneza    unga  lishe. UNGA  LISHE  :  Ni  unga  bora  na  unao  hitajika  sana  katika  kuborehs  afya  za  watoto, wazee  na  wagonjwa.  Ukiwa  kama  mjasiriamali  mdogo, ni  muhimu  kujua  namna  ya  kutengeneza  unga  lishe, kwani  malighafi  zinazo  tumika  katika  utayarishaji  wa  unga  huu  zinapatikana  kwa  wingi  na  kwa  bei  nafuu, hivyo  basi  hata  kwa  wewe  mwenye  mtaji  mdogo,  unaweza   kufanya  biashara  hii   bila  ya  kuhitajika  kuwa  na  mtaji  mkubwa  jambo  linalo  chukuliwa...

SOMO LA KWANZA : UTENGENEZAJI WA SABUNI ZA AINA ZOTE.

 MASOMO  YATAKAYO  FUNDISHWA  HAPA  NI : 1 1. Utengenezaji  Wa Sabuni  isiyo na garama. 22. Utengenezaji  Wa Sabuni ya urembo. 33. Utengenezaji  Wa  Sabuni ya asali na cream. 4 4.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ya manukato. 5 5.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ngumu. 66.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ya unga 77. Utengenezaji   Wa Sabuni ya kugandisha. 8 8. Utengenezaji    Wa  Sabuni za dawa. 99. Utengenezaji  Wa  Sabuni za rangi. 110.  Utengenezaji  Wa Cream ya kunyolea. 111. Utengenezaji  Wa  Sabuni iliyotengenezwa na mafuta mengine.  VIFAA     VYA     UTENGENEZAJI   SABUNI. *Sufuria. *Bakuli kubwa la mfinyanzi au plastiki. *Mafuta *Maji. *Sodium hydroxide{NaOH} *Ubao mdogo/mwiko.  *Chombo chenye ukubwa cha plastiki. *Kifyatulio. *Ki...

SOMO LA NANE : KUTENGENEZA WINE YA NANASI.

Nanasi.  Wine  ya  nanasi  ni  rahisi  kutengeneza  kwa  sababu  mananasi  yanapatikana  kwa  wingi  sana  katika  kipindi  kirefu  cha  mwaka. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  WINE  YA  NANASI. * Nanasi. *  Maji. * Sukari. * Amira. HATUA  YA  KWANZA  KUTENGENEZA *  Menye  maganda  ya  mananase  na  kupata  nyama . ( Kinacho  tumika  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenyewe  na  sio  maganda  ya  mananasi  ) *  Katakata  vipande  vidogo  kisha  weka  katika  chombo  kwa  ajili  ya  kuchemsha,  nanasi  linalo  faa  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  n...