MPE MWANAO MSINGI MZURI WA SOMO LA KIINGEREZA KABLA
HAJAFIKA SEKONDARI
Tunasimamia
Maendeleo Ya Somo La Kiingereza Kwa
Watoto Wanao Soma Shule Za Msingi Mtaala wa Kiswahili
Wanafunzi wengi wanao feli
masomo ya sekondari ni wale ambao walikosa msingi mzuri wa somo la kiingereza
walipo kuwa shule ya msingi. Na hii ni
kwa sababu, ukiondoa somo la Kiswahili , masomo mengine yote ya sekondari
hutolewa kwa lugha ya kiingereza. Kama
mwanafunzi alikosa msingi mzuri wa somo la kiingereza alipokuwa shule ya
msingi, hawezi kuelewa masomo ya sekondari. Matokeo yake, mwanafunzi huyo
hufeli kwenye mitihani yake ya kuhitimu kidato cha nne. Kama mtoto wako hajapata msingi mzuri wa somo
la kiingereza akiwa shule ya msingi, hakuna muujiza mwingine wowote unao weza
kumfanya aelewe na kufaulu vizuri masomo ya sekondari, zaidi ya kupata msingi
mzuri wa somo la kiingereza. Kwa kuzingatia umuhimu wa somo la somo la
kiingereza, taasisi ya Rafiki Elimu EDUCATION
Consultancy, imenzisha program maalumu ya kuwasaidia wanafunzi wanao
soma shule za msingi kwa mtaala wa lugha ya Kiswahili, kuelewa na kupata msingi
bora kabisa wa somo la Kiingereza ( English ). Mtoto atapata program zote za lugha
ya kiingereza kama zinavyo tolewa kwenye shule za mtaala wa kiingereza (
English Mediums) ambazo zinafanya vizuri
kitaaluma nchini. Mzazi unaesomesha
mtoto wako kwenye shule ya msingi inayo fuata mtaala wa Kiswahili, na unatamani
mtoto wako apate msingi bora wa somo la kiingereza, muandikishe kwenye program yetu.
Tutamsimamia vizuri kwenye
somo la kiingereza ( English) na tutahakikisha anamaliza darasa la saba akiwa
amewiva vizuri sana kwenye somo la kiingereza . Program hii imeandaliwa
kitaalamu na imeandaliwa katika namna ambayo haiwezi kuingiliana na ratiba ya
masomo yake ya darasani.
Gharama ya kujiunga na program
hii ni rahisi sana na inalipwa kwa mwezi.
Fomu za kujiunga na program hii zinapatikana kwenye ofisi ya tawi letu
jipya ya Chanika, iliyopo katika eneo la NZASA KWA MWARABU. Kufika ofisini
kwetu, panda bajaji za NZASA-SHULE , shuka kwa Mwarabu kisha piga simu namba 0693
005 189.
Kwa taarifa zaidi kuhusu kazi
na program zetu nyingine, tutembelee kupitia :
Tovuti yetu : www.rafikielimu.blogspot.com
Barua pepe ( E.mail): rafikielimutanzania@gmail.com
Instagram Page : RafikiElimu
EDUCATION Consultancy.
Muandikishe mwanao mapema ili
aanze program mapema
Comments
Post a Comment