Skip to main content

MGOMO WA WAALIMU UNAVYO WAATHIRI WANAFUNZI

Juu  wanafunzi  wa  shule  za  msingi   Ipembe, Nyerere, na  Unyankindi  zilizopo  katika  manispaa  ya  Singida  wakiwa  katika  maandamano.  

Mwanafunzi  akiwa  anawafndisha  wanafunzi  wenzake  baada  ya  walimu  kugoma. Hii  imetokea  huko  mkoani  Mbeya  siku  ya   jana  tarehe  30  Julai  2012. Picha  kwa  hisani  ya  MJENGWA  BLOG
Mgomo  uiso  na  kikomo  ulio  andaliwa  na  Chama  Cha  Waalimu  Tanzania   ( CWT )  ambao  umeanza  rasmi  siku  ya    tarehe  30  Julai  2012   kwa  muda  usiojulikana  hadi  hapo  serikali  itakapo  sikiliza  matakwa  ya  waalimu, umekuwa  na  athari  kubwa  sana  kwa  wanafunzi. Waathirika  wakuu  wa  mgomo  huu  ni  wanafunzi  ambao  wanajiandaa  na  mitihani  ya  taifa  ambayo  inakaribia   kuanza  kufanyika  nchi nzima , mfano  darasa  la  saba  nakadhalika. Sisi  kama  RafikiElimu   Foundation  tunaiomba    serikali   imalize  mgogoro  huu  haraka  iwezekanavyo   ili  watoto  wetu   waweze  kuendelea  na  masomo  yao  kama  kawaida.  Mungu  Ibarika  Tanzania, Mungu  Ibariki  Afrika.

Comments

Popular posts from this blog

SOMO LA TATU : UTENGENEZAJI WA UNGA LISHE.

Mahindi   ni  miongoni  mwa  mazao ya  chakula  ambayo  unga  wake  unatumika  kutengeneza    unga  lishe. UNGA  LISHE  :  Ni  unga  bora  na  unao  hitajika  sana  katika  kuborehs  afya  za  watoto, wazee  na  wagonjwa.  Ukiwa  kama  mjasiriamali  mdogo, ni  muhimu  kujua  namna  ya  kutengeneza  unga  lishe, kwani  malighafi  zinazo  tumika  katika  utayarishaji  wa  unga  huu  zinapatikana  kwa  wingi  na  kwa  bei  nafuu, hivyo  basi  hata  kwa  wewe  mwenye  mtaji  mdogo,  unaweza   kufanya  biashara  hii   bila  ya  kuhitajika  kuwa  na  mtaji  mkubwa  jambo  linalo  chukuliwa...

SOMO LA KWANZA : UTENGENEZAJI WA SABUNI ZA AINA ZOTE.

 MASOMO  YATAKAYO  FUNDISHWA  HAPA  NI : 1 1. Utengenezaji  Wa Sabuni  isiyo na garama. 22. Utengenezaji  Wa Sabuni ya urembo. 33. Utengenezaji  Wa  Sabuni ya asali na cream. 4 4.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ya manukato. 5 5.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ngumu. 66.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ya unga 77. Utengenezaji   Wa Sabuni ya kugandisha. 8 8. Utengenezaji    Wa  Sabuni za dawa. 99. Utengenezaji  Wa  Sabuni za rangi. 110.  Utengenezaji  Wa Cream ya kunyolea. 111. Utengenezaji  Wa  Sabuni iliyotengenezwa na mafuta mengine.  VIFAA     VYA     UTENGENEZAJI   SABUNI. *Sufuria. *Bakuli kubwa la mfinyanzi au plastiki. *Mafuta *Maji. *Sodium hydroxide{NaOH} *Ubao mdogo/mwiko.  *Chombo chenye ukubwa cha plastiki. *Kifyatulio. *Ki...

SOMO LA TISA : USINDIKAJI WA MAZAO YA NAFAKA

Mahindi  yaliyo  toka  kuvunwa. 1 .   USINDIKAJI  WA   ZAO  LA  MAHINDI : Ili kuongeza matumizi ya mazao hayo na kudumisha ubora wake ni muhimu teknolojia za kusindika nafaka zitumike. Usindikaji pia huongeza thamani ya zao.                             KUSINDIKA MAHINDI Punje za mahindi hutumika kupika makande na husindikwa kupata unga unaotumika katika matumizi mbalimbali. Vile vile bidhaa nyingine zinazotokana na mahindi ni mafuta na wanga. KUSINDIKA MAHINDI KUPATA UNGA Kuna aina mbili za unga wa mahindi, unga wa mahindi yasiyokobolewa(Dona) na unga wa mahindi yaliyokobolewa (Sembe)  KUSINDIKA MAHINDI KUPATA UNGA WA DONA Vifaa • Mashine ya kukoboa • Mashine ya kusaga • Ungo • Debe • Mifuko • Chekeche ya nafaka Jinsi ya kusindika • Pepeta na pembua mahindi ili kuondoa vumbi na takataka nyingine kwa kutumia chekeche, ungo a...