KUTOKA TUNDUMA : MAANDAMANO YA WANAFUNZI YASABABISHA VURUGU, POLISI WALAZIMIKA KUTUMIA MABOMU YA MACHOZI..
![]() |
Wanafunzi na wananchi wakiwa wanachoma baadhi ya Maeneo Tunduma Wananchi wa Tunduma wakiwa wanashuhudia Live tukio la wanafunzi wa shule za Msingi Tunduma walipo goma |
![]() |
Njia ya Kuelekea Boda la Tunduma ikiwa imefungwa |
![]() | |||
Wananchi wa Tunduma wakiwa wanashuhudia Live tukio la wanafunzi wa shule za Msingi Tunduma walipo goma |
PICHA NA HABARI ZOTE NI KWA MUJIBU WA ; WWW.MBEYAYETU.BLOGSPOT.COM .
Kutoka RafikiElimu : Tunaiomba serikali imalize mgogoro huu haraka iwezekanavyo ili wanafunzi warudi darasani na kuendelea na masomo yao kama kawaida. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.
Comments
Post a Comment