![]() |
Nanasi. |
Wine ya nanasi ni rahisi kutengeneza kwa sababu mananasi yanapatikana kwa wingi sana katika kipindi kirefu cha mwaka.
MALIGHAFI ZINAZO HITAJIKA KATIKA UTENGENEZAJI WA WINE YA NANASI.
* Nanasi.
* Maji.
* Sukari.
* Amira.
HATUA YA KWANZA KUTENGENEZA
* Menye maganda ya mananase na kupata nyama . ( Kinacho tumika katika utengenezaji wa wine ya nanasi ni nanasi lenyewe na sio maganda ya mananasi )
* Katakata vipande vidogo kisha weka katika chombo kwa ajili ya kuchemsha, nanasi linalo faa katika utengenezaji wa wine ya nanasi ni nanasi lenye uzito wa kg. 5.
* Chemsha kwa muda wa dakika 30 kwa moto wa kawaida ( Inashauriwa kutumia moto wa mkaa )
* Baada ya kupoa anza kuchachua kwa kuweka amira vijiko vinne ( 4 ) vya chakula , sukari vijiko viwili vya chai na kisha koroga kwa muda wa dakika 20.
* Acha kwa muda wa dakika 5 ukiwa una koroga kila siku.
HATUA YA PILI.
Baada ya siku tano kukamilika, chuja wine yako iweke katika chombo cha kupunguza gesi kwa muda wa siku 21. Baada ya siku 21 , wine yako itakuwa tayari, unaweza kui hifadhi kwa ajili ya matumizi.
UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI
ReplyDelete(Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.