Skip to main content

Posts

Showing posts from 2025

NAFASI ZA KAZI ZA NDANI

          NAFASI ZA KAZI ZA   NDANI  ( NDANI YA CHANIKA) ( Kwenda na Kurudi au Kulala   Nyumbani kwa Mwajiri )         Sifa   za mwombaji wa Nafasi ya kazi ya ndani. 1.                    Umri kuanzia miaka 18 na kuendelea 2.                  Ujue kusoma na kuandika 3.                  Uwe na akili timamu. 4.                 Uwe nadhifu, mtiifu na mwaminifu. 5.                  Uwe unaishi ndani ya Chanika, na uwe tayari kufanya kazi ya msaidizi wa kazi za ndani ndani ya Chanika. ...

PIPI ZA KIHINDI NI NINI ?

  PIPI ZA KIHINDI NI NINI ?   Pipi za kihindi, ni pipi zinazo tengenezwa majumbani kwa kutumia sukari ya kawaida ama sukari guru. Pipi hizi ni pipi zinazo pendwa sana na watoto wa shule za msingi na sekondari.   Kama ukipata shule yenye wanafunzi wengi, basi unaweza kuuza hadi pipi elfu 2 kwa siku.   Taasisi ya RafikiElimu EDUCATION Consultancy, kupitia mradi wake wa Mafunzo ya Ujasiriamali kwa njia ya Video ( Video-Mafunzo Project), kuanzia tarehe 1 SEPTEMBA, 2025, itaanza kutoa mafunzo ya jinsi ya kutengeneza pipi za kihindi.   Gharama za mafunzo haya ni nafuu sana.   Fomu za kujiandikisha kwenye mafunzo haya, zinapatikana kwenye ofisi za tawi letu jipya la Chanika, zilizopo katika eneo la Nzasa kwa Mwarabu. Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 25 AGOSTI 2025 saa tisa kamili alasiri. Jinsi ya kufika ofisini kwetu, panda bajaji za Nzasa –Shule, kisha shuka kwa Mwarabu halafu piga simu namba 0693 – 005 189.   Tovuti yetu : www.rafikielimu.blogspot...

KUFAULU FORM 4 NI LAZIMA

  KUFAULU FORM 4 NI LAZIMA   Wanafunzi wengi hufeli kidato cha nne kwa sababu ya kukosa usimamizi sahihi wa maendeleo yao ya kitaaluma. Kwa sababu hiyo basi, taasisi ya Rafiki Elimu EDUCATION Consultancy imekuja na programu   maalumu ya kutoa usimamizi wa maendeleo ya kitaaluma kwa wanafunzi wa shule za sekondari wanao hitaji kusimamiwa kitaaluma. RafikiElimu EDUCATION Consultancy ni taasisi inayo husika na usimamizi wa maendeleo ya kitaaluma kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Lengo la taasisi hii ni kuhakikisha wanafunzi inao wasimamia, wanapata ufaulu wa juu kabisa katika mitihani yao ya kuhitimu kidato cha nne. Ewe mzazi, ewe mlezi, ambae unatamani kuona kijana wako akipata ufaulu wa juu kwenye mitihani yake ya kidato cha nne, njoo muandikishe kwenye programu yetu. Pamoja na mambo mengi muhimu ya kitaaluma, wanafunzi watakao jiunga na programu hii watafaidika kwa kupata program zote muhimu za kitaaluma kama zinavyo tolewa kwenye shule za sekondari zinazo fa...

MCHAWI NI ENGLISH!!! TUNASIMAMIA MAENDELEO YA SOMO LA KIINGEREZA KWA WANAFUNZI WA SHULE ZA SEKONDARI

  MCHAWI NI ENGLISH!!! TUNASIMAMIA MAENDELEO YA SOMO LA KIINGEREZA KWA WANAFUNZI WA SHULE ZA SEKONDARI Wanafunzi wengi wa shule za sekondari nchini, hushindwa kufanya vizuri kwenye masomo yao ya sekondari , kwa sababu ya kukosa msingi mzuri wa somo la kiingereza tangu shule ya msingi. Kukosa msingi mzuri wa somo la kiingereza , husababisha wanafunzi kushindwa kuelewa vizuri masomo ya sekondari ambayo hufundishwa kwa somo la kiingereza. Matokeo yake, wanafunzi hao, huishia kufeli vibaya kwenye mitihani yao ya kuhitimu kidato cha nne, sio kwa sababu hawana akili? La Hasha! Sababu ni kutokuelewa vizuri lugha ya kiingereza.   Kwa sababu hiyo basi,   Taasisi ya RafikiElimu EDUCATION Consultancy, imeanzisha program   maalumu ya kuwasaidia wanafunzi wa sekondari kupata msingi bora wa somo la kiingereza ( English) ambao utwasaidia kuelewa vizuri masomo yao, jambo litakalo wasaidia kupata ufaulu mzuri kwenye mitihani yao ya mwisho ya kidato cha nne.   Mzazi au ml...

MPE MWANAO MSINGI MZURI WA SOMO LA KIINGEREZA KABLA HAJAFIKA SEKONDARI

  MPE MWANAO MSINGI MZURI WA SOMO LA KIINGEREZA KABLA HAJAFIKA SEKONDARI   Tunasimamia Maendeleo Ya Somo   La Kiingereza Kwa Watoto Wanao Soma Shule Za Msingi Mtaala wa Kiswahili   Wanafunzi wengi wanao feli masomo ya sekondari ni wale ambao walikosa msingi mzuri wa somo la kiingereza walipo kuwa shule ya msingi.   Na hii ni kwa sababu, ukiondoa somo la Kiswahili , masomo mengine yote ya sekondari hutolewa kwa lugha ya kiingereza.   Kama mwanafunzi alikosa msingi mzuri wa somo la kiingereza alipokuwa shule ya msingi, hawezi kuelewa masomo ya sekondari. Matokeo yake, mwanafunzi huyo hufeli kwenye mitihani yake ya kuhitimu kidato cha nne.   Kama mtoto wako hajapata msingi mzuri wa somo la kiingereza akiwa shule ya msingi, hakuna muujiza mwingine wowote unao weza kumfanya aelewe na kufaulu vizuri masomo ya sekondari, zaidi ya kupata msingi mzuri wa somo la kiingereza. Kwa kuzingatia umuhimu wa somo la somo la kiingereza, taasisi ya Rafiki Elimu ED...

NAFASI ZA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA NJIA YA VIDEO

 Taasisi ya RafikiElimu Education Consultancy, kupitia Mradi wa Mafunzo ya Ujasiriamali kwa njia ya videon( VIDEO - MAFUNZO PROJECT) inakutangazia wewe kijana wa ki Tanzania,  nafasi ya kujiunga na mafunzo ya Ujasiriamali kwa njia ya video.  Masomo yatakayo fundishwa ni pamoja na 👇 1. Jinsi ya kutengeneza pipi za kihindi ( Pipi za Kihindi) ni pipi zinazo tengenezwa Nyumbani kwa kutumia sukari ya kawaida ama sukari guru. Pipi hizi ni pipi zinazo pendwa Sana na watoto wa shule za msingi na sekondari. Kijana akijua jinsi ya kutengeneza pipi hizi, anakuwa amepata ujuzi utakao muwezesha kujitengenezea kipato chake halali kupitia kutengeneza pipi hizo za kihindi na kwenda kuziuza mashuleni  2. Jinsi ya kutengeneza mashine za kutotolea vifaranga wa kuku ( Incubators)  3. Jinsi ya kutengeneza chaki.  4. Jinsi ya kutengeneza sabuni za aina mbalimbali.  5. Jinsi ya kutengeneza ice cream, na juice za aina mbalimbali.  6. Pamoja na masomo mengine mengi....

Vijana kutoka Dar Es Salaam, Mwanza, Mbeya, Kagera : Vinara kwenye mafunzo ya utengenezaji wa pipi za kihindi.

Mikoa ya Dar Es Salaam, Mwanza, Mbeya na Kagera  imeongoza kwa kutoa  idadi kubwa ya vijana wanao shiriki katika mafunzo ya UTENGENEZAJI WA PIPI ZA KIHINDI.  Mafunzo ya kutengeneza Pipi za Kihindi ni mafunzo yanatolowea na Taasisi ya Facility Elimu Education Consultancy, yenye makao yake makuu, Chanika, wilaya ya Ilala, mkoani Dar Es Salaam.  Katika mafunzo hayo yanatolewa kwa njia ya masafa marefu ( Distance Learning Program), idadi kubwa ya washiriki wa mafunzo hayo wanatoka katika mkoa wa Dar Es Salaam, huku ikifuatiwa na mikoa ya Mwanza, Mbeya na Kagera.  Pipi za Kihindi ni pipi zinazo pendwa sana na wanafunzi wa shule za msingi na sekondari.  Vijana wanao shiriki kwenye mafunzo haya, utumia ujuzi huo, kutengeneza pipi hizo majumbani mwao na kisha kwenda kuziuza kwenye shule za msingi na / au sekondari.  Mafunzo haya yame anzishwa maalumu kwa ajili ya kuwasaidia vijana walio feli kids to cha nne kwa kupata Division 4 na Zero, kupata ujuzi utakao wa...