Skip to main content

Posts

Showing posts from 2025

NAFASI ZA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA NJIA YA VIDEO

 Taasisi ya RafikiElimu Education Consultancy, kupitia Mradi wa Mafunzo ya Ujasiriamali kwa njia ya videon( VIDEO - MAFUNZO PROJECT) inakutangazia wewe kijana wa ki Tanzania,  nafasi ya kujiunga na mafunzo ya Ujasiriamali kwa njia ya video.  Masomo yatakayo fundishwa ni pamoja na 👇 1. Jinsi ya kutengeneza pipi za kihindi ( Pipi za Kihindi) ni pipi zinazo tengenezwa Nyumbani kwa kutumia sukari ya kawaida ama sukari guru. Pipi hizi ni pipi zinazo pendwa Sana na watoto wa shule za msingi na sekondari. Kijana akijua jinsi ya kutengeneza pipi hizi, anakuwa amepata ujuzi utakao muwezesha kujitengenezea kipato chake halali kupitia kutengeneza pipi hizo za kihindi na kwenda kuziuza mashuleni  2. Jinsi ya kutengeneza mashine za kutotolea vifaranga wa kuku ( Incubators)  3. Jinsi ya kutengeneza chaki.  4. Jinsi ya kutengeneza sabuni za aina mbalimbali.  5. Jinsi ya kutengeneza ice cream, na juice za aina mbalimbali.  6. Pamoja na masomo mengine mengi....

Vijana kutoka Dar Es Salaam, Mwanza, Mbeya, Kagera : Vinara kwenye mafunzo ya utengenezaji wa pipi za kihindi.

Mikoa ya Dar Es Salaam, Mwanza, Mbeya na Kagera  imeongoza kwa kutoa  idadi kubwa ya vijana wanao shiriki katika mafunzo ya UTENGENEZAJI WA PIPI ZA KIHINDI.  Mafunzo ya kutengeneza Pipi za Kihindi ni mafunzo yanatolowea na Taasisi ya Facility Elimu Education Consultancy, yenye makao yake makuu, Chanika, wilaya ya Ilala, mkoani Dar Es Salaam.  Katika mafunzo hayo yanatolewa kwa njia ya masafa marefu ( Distance Learning Program), idadi kubwa ya washiriki wa mafunzo hayo wanatoka katika mkoa wa Dar Es Salaam, huku ikifuatiwa na mikoa ya Mwanza, Mbeya na Kagera.  Pipi za Kihindi ni pipi zinazo pendwa sana na wanafunzi wa shule za msingi na sekondari.  Vijana wanao shiriki kwenye mafunzo haya, utumia ujuzi huo, kutengeneza pipi hizo majumbani mwao na kisha kwenda kuziuza kwenye shule za msingi na / au sekondari.  Mafunzo haya yame anzishwa maalumu kwa ajili ya kuwasaidia vijana walio feli kids to cha nne kwa kupata Division 4 na Zero, kupata ujuzi utakao wa...