Skip to main content

NAFASI ZA KAZI ZA KUJITOLEA KIGOMA.

Taasisi  ya  NYAKITONTO  YOUTH  FOR  DEVELOPMENT  TANZANIA  ya  mjini  Kigoma, Tanzania, inatangaza  nafasi  za  kazi  za  kujitolea   kama  ifuatavyo :

                     


1.      Grant/Project Officer-Kilimo,Usafi na mazingira wa NYAKITONTO YOUTH FOR DEVELOPMENT TANZANIA.  (  Nafasi  Moja  )

2. Grant /project Officer-Elimu na Sera.wa NYAKITONTO YOUTH FOR DEVELOPMENT TANZANIA   (  Nafasi  Moja   )

3. Grant/Project Officer-Women and Girls Health services in Kigoma. (  Nafasi Moja )


4. Project Development Officer-Youth and Children of NYAKITONTO YOUTH FOR DEVELOPMENT TANZANIA.               (  Nafasi  Moja  )
5. Programe coordinator youth talents and enterprenueship.  (  Nafasi  Moja  ) 
6. Webdissgner ,Publisher and IT OFFicer_________ (  Nafasi  Moja  )


     1.
S           

MASHARITI.

        i.            Kila officer atawajibika kwa Mkurugenzi Mtendaji na Kamati Tendaji ya asasi

     ii.            Atahusika na kuandika,Tafiti,project(miradi) na kuoganaze Fundraising events-ili kupata Ruzuku/partiners katika idara yake kwa ajili ya maendeleo jamii.

   iii.            Atakuwa mjumbe katika kamati  ya mipango,Utunishaji mfuko na Kutandaa(Networking) kwa asasi yetu ya NYAKITONTO YOUTH FOR DEVELOPMENT TANZANIA.
   iv.            Katika Ruzuku/Fedha atakayoiingizia asasi inayoanzi us dolla elf $ 5000 atapatiwa motisha kati ya  08%  ya Ruzuku hiyo kama motisha yake na Maendeleo yake,pia atalipwa posho kadiri atakavyokuwa ameiandika katika bajeti ya andiko lake,ili kujikimu maisha yake ya kila siku awapo Ofisini kwetu.

      v.            Atakuwa na hadhi ya kuwa mwanachama wa asasi ,Kikatiba-Mwanachama wa kujitolea.,na pia asasi itatumia influence yake kama Cv zake,kutetea miradi kulingana na mahitaji.

   vi.            Atasaini Mkataba wa kati yake na Asasi katika majukumu atakayo kubaliana na sisi.

Picha  za  matukio  mbalimbali  ya  shughuli mbalimbali  za  Taasisi  ya   Naykitonto  Youth  For  Development  Tanzania.
SIFA ZA  WAOMBAJI  NAFASI. 

        i.            Awe na uzoefu katika kazi-idara anayoomba kujitolea.
     ii.            Awe na elimu ya sekondari,Diploma na au  Shahada ya kwanza au Zaidi(tunakaribisha zaidi Wenye( Masters,Phd,Docters na Profesa)
   iii.            Awe anasoma  masters,Na Tungependa Dissertation zao,Zilenge masuala ya asasi yetu,ili kupitia kwazo wanufaike nazo,jamii inufaike nazo na Ruzuku ipatikane kwa maendeleo ya Officer na asasi kwa ujumla.
   iv.            Wenye uwezo wa kuandika Miradi na Wadau wa AZAKI WANAPENDELEWA SANA.




NAMNA  YA  KUTUMA  MAOMBI : 

Maombi  yote  yatumwe  kwa  njia  ya  barua  pepe : dyouthkgm@yahoo.com :  kwenda  kwa:

MKURUGENZI  MTENDAJI. 
NYAKITONTO YOUTH FOR DEVELOPMENT TANZANIA
P.O.BOX  890,
KIGOMA.

Contact  Person :  RAMADHAN JOEL NKEMBANTI
SIMU                    :  0765794896

DEADLINE  :  Tarehe  20  NOVEMBA  2012.











Comments

Popular posts from this blog

SOMO LA TATU : UTENGENEZAJI WA UNGA LISHE.

Mahindi   ni  miongoni  mwa  mazao ya  chakula  ambayo  unga  wake  unatumika  kutengeneza    unga  lishe. UNGA  LISHE  :  Ni  unga  bora  na  unao  hitajika  sana  katika  kuborehs  afya  za  watoto, wazee  na  wagonjwa.  Ukiwa  kama  mjasiriamali  mdogo, ni  muhimu  kujua  namna  ya  kutengeneza  unga  lishe, kwani  malighafi  zinazo  tumika  katika  utayarishaji  wa  unga  huu  zinapatikana  kwa  wingi  na  kwa  bei  nafuu, hivyo  basi  hata  kwa  wewe  mwenye  mtaji  mdogo,  unaweza   kufanya  biashara  hii   bila  ya  kuhitajika  kuwa  na  mtaji  mkubwa  jambo  linalo  chukuliwa  kama  changamoto  kwa  wajasiriamali wengi  nchini. MCHELE. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  UNGA  LISHE. * Karanga    - Nusu  Kilo. * Soya         - Nusu  Kilo. * Ulezi         -   Kilo  moja  na  Nusu. * Mahindi    -Nusu  Kilo *Mtama     - Mtama  Nusu  Kilo. * Uwele     -  Nusu  kilo. * Mchele    -  Nusu  kilo.. JINSI  YA  KUTENGENEZA  UNGA  LISHE . 1. S

NAFASI ZA KUJITOLEA SINGIDA

Taasisi  ya  ORPHANS  &  VULNARABLE   CHILDREN  CARE    (  OVCC  )  ya  Mjini  SINDIDA  inatangaza  nafasi  za  kazi  za  kujitolea  kama  ifuatavyo  : Picha  za  matukio  ya  shughuli  mbalimbali  za  Taasisi  ya OVCC.   1.       Miandi Secondary school:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-          (i) Physics               2          (ii) Chemistry           2          (iii) Biology              2          (iv) Geography         1          (v) Basic Mathematics. 2 2.         Puma Secondary School:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-         (i) Fnglish                        2         (ii) Physics                      3         (iii) Chemistry                  3                        (iv) Biology                      3         (v) Basic Mathematics     4 3.       Puma Dispensary:-     Volunteers wa Taaluma zifuatazo:-       (i) Taaluma ya Utabibu             8       (ii) Taaluma ya Kinga ya Afya   8

SOMO LA NANE : KUTENGENEZA WINE YA NANASI.

Nanasi.  Wine  ya  nanasi  ni  rahisi  kutengeneza  kwa  sababu  mananasi  yanapatikana  kwa  wingi  sana  katika  kipindi  kirefu  cha  mwaka. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  WINE  YA  NANASI. * Nanasi. *  Maji. * Sukari. * Amira. HATUA  YA  KWANZA  KUTENGENEZA *  Menye  maganda  ya  mananase  na  kupata  nyama . ( Kinacho  tumika  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenyewe  na  sio  maganda  ya  mananasi  ) *  Katakata  vipande  vidogo  kisha  weka  katika  chombo  kwa  ajili  ya  kuchemsha,  nanasi  linalo  faa  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenye  uzito  wa  kg. 5. * Chemsha  kwa  muda  wa  dakika  30  kwa  moto  wa  kawaida (  Inashauriwa  kutumia  moto  wa  mkaa  ) * Baada  ya  kupoa   anza kuchachua  kwa  kuweka  amira   vijiko  vinne (  4  )  vya  chakula ,  sukari  vijiko  viwili  vya  chai na  kisha  koroga  kwa  muda  wa  dakika  20. *  Acha  kwa  muda  wa  dakika  5  ukiwa  una