Skip to main content

Posts

NAFASI ZA KAZI MTAFITI MSAIDIZI : NAFASI KUMI NA MBILI ( ATHARI ZA MIMBA ZA UTOTONI)

  NAFASI ZA KAZI MTAFITI MSAIDIZI : NAFASI KUMI NA MBILI ( ATHARI  ZA MIMBA  ZA UTOTONI, ENEO LA MZINGATIO, LINDI & MTWARA) RafikiElimu Education Consultancy ni Taasisi binafsi inayo jihusisha na usimamizi wa maendeleo ya kitaaluma kwa wanafunzi wanao soma  QT pamoja na wale wanao jiandaa kurudia mitihani ya sekondari ( Re-seaters).  Taasisi ina andaa kitabu pamoja na documentary maalumu  kuhusu  ATHARI ZA MIMBA ZA UTOTONI katika wilaya mbalimbali zilizopo katika mikoa ya Lindi na Mtwara.   Kupitia project hii, Taasisi inatangaza nafasi kumi na mbili za kazi ya “ Mtafiti Msaidizi” atakae msaidia mwandishi mkuu wa kitabu hiki kupata taarifa muhimu zitakazo muwezesha kukamilisha zoezi la kuandika kitabu hiki.   MAJUKUMU YA KAZI HII : ni pamoja na kuwatafuta  wahanga  wakuu wa tatizo la mimba za utotoni yani wasichana waliopata mimba utotoni na kuharibiwa ndoto zao za kuendelea na masomo yao kwa ajili ya kufanya mahojiano na mwandishi mkuu wa kitabu hiki.  SIFA ZA MWOMBAJI :  1.
Recent posts

NAFASI ZA KAZI ( WASAIDIZI WA KAZI ZA OFISINI/ OFFICE MESSENGERS/ MESENJA WA OFISINI)

  NAFASI  ZA  KAZI ( WASAIDIZI WA KAZI ZA OFISINI/ OFFICE MESSENGERS/MESENJA WA OFISINI) RafikiElimu Education Consultancy ni   Taasisi inayo jihusisha na usimamizi wa maendeleo ya kitaaluma kwa wanafunzi wanao soma QT ( Qualifying Test) pamoja na wale wanao jiandaa kurudia mitihani yao ya sekondari ( Re-seaters). Taasisi inaratibu na kusimamia program maalumu ya kuwasaidia   wahitimu walio feli kidato cha nne, kupata nafasi za kazi ya UMESENJA WA   OFISINI kwenye ofisi mbalimbali ili waweze kupata kipato   kitakacho wasaidia kujiendeleza kitaaluma   kupitia taasisi yetu.   Majukumu ya kazi hii ni pamoja na : kufanya usafi wa ofisi , kupika chakula cha wafanyakazi,kufua nguo za wafanyakazi, kupokea wageni wa ofisi, kutumwa kazi mbalimbali za ofisi ndani na nje ya ofisi, nakadhalika.      SIFA ZA MWOMBAJI 1. Awe wa jinsia   yoyote ( yani wa kike au wa kiume) 2.   Awe muhitimu alie feli kidato cha nne kwa kupata Division Zero au Four   mwenye nia ya dhati ya kurudia m

RC Chalamila: Dar es Salaam kufuta shule zote za sekondari za kutwa ili kudhibiti nidhamu ya wanafunzi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema wapo kwenye mchakato wa kufuta shule zote za sekondari za kutwa kwa ajili ya kudhibiti nidhamu kwa wanafunzi wote wa sekondari. Chalamila ameyasema hayo katika uwanja wa shule ya Sekondari ya Azania kwenye hafla ya kukabidhi magari kwa maafisa elimu wa sekondari kutoka wilaya nane, ambapo amesema, Mkoa wa Dar es Saalam una shule za sekondari 182 na za binafsi zipo nyingi zaidi ya 200. --- ILI kudhibiti nidhamu kwa wanafunzi wa shule za Sekondari, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema wapo kwenye mchakato wa kufuta shule zote za Sekondari za kutwa. Chalamila ameyasema hayo leo Agosti 14, 2023 katika uwanja wa shule ya Sekondari ya Azania kwenye hafla ya kukabidhi magari kwa maafisa elimu wa sekondari kutoka wilaya nane. Amesema, Mkoa wa Dar es Saalam una shule za sekondari 182 na za binafsi zipo nyingi zaidi ya 200. “Katika Mkoa tunapokea sh billion 1.3 fedha zinazohudumia wanafunzi kama ada na posho ya madar

Ijue RAFIKIELIMU EDUCATION CONSULTANCY

RafikiElimu EDUCATION Consultancy ni Taasisi binafsi inayo jihusisha na USIMAMIZI wa MAENDELEO ya KITAALUMA kwa wanafunzi wanao soma katika shule za sekondari Tanzania. Taasisi kwa makubaliano binafsi kati ya taasisi na mzazi/mlezi, inafanya kazi ya kufuatilia na kusimamia maendeleo ya kitaaluma kwa wanafunzi wanao soma katika shule za kutwa ( Day Scholars ) pamoja na wale wanao soma katika shule za bweni ( Boarding Scholars ) Taasisi ina toa huduma hii kwa wanafunzi wa sekondari waliopo ndani ya mkoa wa Dar Es Salaam, pamoja na wale waliopo nje ya mkoa wa Dar Es Salaam. Vile vile, RafikiElimu EDUCATION Consultancy ina wasimamia pia wanafunzi wanao jiandaa na mitihani ya kidato cha nne, au sita kama watahiniwa binafsi ( Private Candindates ) , wanafunzi wanao jiandaa kurudia mitihani yao ya kidato cha nne au sita ( Reseaters), pamoja na wanafunzi wanao soma masomo ya

NAFASI ZA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI.

  NAFASI     ZA         MAFUNZO     YA       UJASIRIAMALI. Taasisi   ya   RafikiElimu   FOUNDATION   kupitia   Mradi   wa   Elimu   Ya   Ujasiriamali   Mijini   &   Vijijini, inatangaza   nafasi   za   MAFUNZO   YA   UJASIRIAMALI.   Mafunzo   yatakayo   tolewa   ni   pamoja   na   : 1.  Somo  la  Ujasiriamali 2.    Uanzishaji   na   undeshaji   wa   taasisi   zisizo   kuwa   za   kiserikali. 3.    Jinsi ya kutengeneza aina sita za soda 4.    Jinsi ya kutengeneza bia   aina mbali mbali 5.    Jinsi ya kutengeneza vodka na pombe nyingine kali kwa vipimo 6.    Jinsi ya kutengeneza fruit wine ( wine ya matunda mbali mbali) 7.    Jinsi ya kutengeneza pipi, jojo (chewing gum), toffee n.k 8.    Jinsi ya kutengeneza yogurt, ice cream na cheese 9.    Jinsi ya kutengneneza tambi aina ya pasta. 10.                      Jinsi ya kutengeneza sabuni za kuogea 11.                      Jinsi ya kutengeneza scrub 12.                      Jinsi ya kutengenez