NAFASI ZA KAZI MTAFITI MSAIDIZI : NAFASI KUMI NA MBILI ( ATHARI ZA MIMBA ZA UTOTONI, ENEO LA MZINGATIO, LINDI & MTWARA) RafikiElimu Education Consultancy ni Taasisi binafsi inayo jihusisha na usimamizi wa maendeleo ya kitaaluma kwa wanafunzi wanao soma QT pamoja na wale wanao jiandaa kurudia mitihani ya sekondari ( Re-seaters). Taasisi ina andaa kitabu pamoja na documentary maalumu kuhusu ATHARI ZA MIMBA ZA UTOTONI katika wilaya mbalimbali zilizopo katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Kupitia project hii, Taasisi inatangaza nafasi kumi na mbili za kazi ya “ Mtafiti Msaidizi” atakae msaidia mwandishi mkuu wa kitabu hiki kupata taarifa muhimu zitakazo muwezesha kukamilisha zoezi la kuandika kitabu hiki. MAJUKUMU YA KAZI HII : ni pamoja na kuwatafuta wahanga wakuu wa tatizo la mimba za utotoni yani wasichana waliopata mimba utotoni na kuharibiwa ndoto zao za kuendelea na masomo yao kwa ajili ya kufanya mahojiano na mwandishi mkuu wa kitabu hiki. SIFA ZA MWOMBAJI : 1.
NAFASI ZA KAZI ( WASAIDIZI WA KAZI ZA OFISINI/ OFFICE MESSENGERS/MESENJA WA OFISINI) RafikiElimu Education Consultancy ni Taasisi inayo jihusisha na usimamizi wa maendeleo ya kitaaluma kwa wanafunzi wanao soma QT ( Qualifying Test) pamoja na wale wanao jiandaa kurudia mitihani yao ya sekondari ( Re-seaters). Taasisi inaratibu na kusimamia program maalumu ya kuwasaidia wahitimu walio feli kidato cha nne, kupata nafasi za kazi ya UMESENJA WA OFISINI kwenye ofisi mbalimbali ili waweze kupata kipato kitakacho wasaidia kujiendeleza kitaaluma kupitia taasisi yetu. Majukumu ya kazi hii ni pamoja na : kufanya usafi wa ofisi , kupika chakula cha wafanyakazi,kufua nguo za wafanyakazi, kupokea wageni wa ofisi, kutumwa kazi mbalimbali za ofisi ndani na nje ya ofisi, nakadhalika. SIFA ZA MWOMBAJI 1. Awe wa jinsia yoyote ( yani wa kike au wa kiume) 2. Awe muhitimu alie feli kidato cha nne kwa kupata Division Zero au Four mwenye nia ya dhati ya kurudia m