Skip to main content

NAFASI ZA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI.





  NAFASI   ZA     MAFUNZO   YA    UJASIRIAMALI.
Taasisi  ya  RafikiElimu  FOUNDATION  kupitia  Mradi  wa  Elimu  Ya  Ujasiriamali  Mijini  &  Vijijini, inatangaza  nafasi  za  MAFUNZO  YA  UJASIRIAMALI.  Mafunzo  yatakayo  tolewa  ni  pamoja  na  :
1.  Somo  la  Ujasiriamali
2.   Uanzishaji  na  undeshaji  wa  taasisi  zisizo  kuwa  za  kiserikali.
3.   Jinsi ya kutengeneza aina sita za soda
4.   Jinsi ya kutengeneza bia  aina mbali mbali
5.   Jinsi ya kutengeneza vodka na pombe nyingine kali kwa vipimo
6.   Jinsi ya kutengeneza fruit wine ( wine ya matunda mbali mbali)
7.   Jinsi ya kutengeneza pipi, jojo (chewing gum), toffee n.k
8.   Jinsi ya kutengeneza yogurt, ice cream na cheese
9.   Jinsi ya kutengneneza tambi aina ya pasta.
10.                     Jinsi ya kutengeneza sabuni za kuogea
11.                     Jinsi ya kutengeneza scrub
12.                     Jinsi ya kutengeneza lotion
13.                     Jinsi  ya  kutengeneza  manukato (perfumes) za  aina  mbalimbali.
14.                     Jinsi ya kutengeneza mafuta ya kupaka
15.                     Jinsi ya kutengeneza lip balm
16.                     Jinsi ya kutengeneza dawa mbalimbali za mimea zitokanazo na mimea tunayotumia kila siku
17.                     Jinsi  ya  kutengeneza  vyakula  lishe  mbalimbali.
18.                     Jinsi ya kutengeneza Sabuni za mche
19.                     Jinsi ya kutengeneza Sabuni ya unga
20.                     Jinsi ya kutengeneza Sabuni ya maji
21.                     Jinsi ya kutengeneza Shampoo
22.                     Jinsi ya kutengeneza Dawa ya usafi chooni
23.                     Jinsi ya kutengeneza Dawa ya kusafishia Tiles.
24.                     Jinsi ya kutengeneza Mishumaa
25.                     Jinsi ya kutengeneza Chaki
26.                     Jinsi ya kutengeneza Tomato & Chilli Sauce
27.                     Jinsi ya Kutengeneza Jam ya Nyanya na Nanasi
28.                     Jinsi ya kutengeneza Biscuits
29.                     Jinsi ya kutengeneza Mkate wa ndizi
30.                     Usindikaji  wa  vyakula  mbalimbali.
31.                     Jinsi  ya  kutengeneza  kiwi
32.                     Jinsi  ya  kutengeneza  blue  band.
33.                     Usindikaji  wa  bidhaa  za  ngozi.
34.                     Somo  la  masaji
35.                     Ubunifu , uendeshaji  na  usimamizi  wa  miradi  mbalimbali.
36.                     Uendeshaji  na  Usimamizi  wa  vikundi  vya  kuweka  na  kukopa  fedha.
37.                     Utengenezaji  wa  vyakula  vya  mifugo.
38.                     Utunzaji  wa  wazee  na  watoto  wachanga.
39.                     Kutunza  na  kulea  watoto  yatima.
40.                     Pamoja  na  vitu  vingine  vingi.

SIFA   ZA  MWOMBAJI :

1.   Awe kijana  wa  kitanzania
2.   Anaye  jua  kusoma  na  kuandika.
3.   Kwa  watakao  taka  kutosoma  kozi  namba  2, 35 na  36, mwombaji  lazima  awe  na  elimu  ya  kuanzia  kidato  cha  nne  na  kuendelea.

ADA    YA  MAFUNZO  :

Mafunzo  haya  yanatolewa  bure.

FOMU   ZA  KUJIUNGA  NA  MAFUNZO  :

Fomu  za  kujiunga  na  mafunzo  haya  zinapatikana  ofisini  kwetu  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  KUMI  NA  TANO  TU  (Tshs.15,000/=)
OFISI  ZETU  zinapatikana  jijini  DAR  ES  SALAAM  katika  eneo  la  CHANGANYIKENI  karibu  na  CHUO  CHA  TAKWIMU  mbele  ya  CHUO  KIKUU  CHA  DAR  ES  SALAAM.

JINSI  YA  KUFIKA  OFISINI  KWETU:

Kufika  ofisini  kwetu  panda  daladala  za  MAWASILIANO 
 TOWER -  CHANGANYIKENI  kisha  shuka  kituo  cha  TAKWIMU  halafu  tembea  hatua  ishirini  mbele  utaona  ofisi  imeandikwa  RAEFO  TANZANIA.

KWA  WAOMBAJI  WALIO  NJE  YA  MKOA  WA  DAR  ES  SALAAM.

Kwa  waombaji  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar Es  salaam, mafunzo  yatatolewa  kwa  njia  ya  posta.  Jinsi  ya  kuomba,andika  barua  pepe  ya  maombi  ya  fomu  ya  kujiunga  na  mafunzo  haya, nasi  tutakutumia  fomu  yenye  maelekezo  yote.
Maombi  yako  yaandikwe  kupitia  barua  pepe  yetu : rafikielimutanzania@gmail.com

Maombi   yaelekezwe  kwa  Mkurugenzi  Mtendaji, RafikiElimu  Foundation, S.L.P 35967, DAR  ES  SALAAM.

MWISHO  WA  KUTOA  FOMU    NI  TAREHE  28  FEBRUARI  2015.

MAFUNZO  YATAANZA   TAREHE  02  MACHI  2015.
Kwa  maelezo  zaidi, piga  simu  0 Au  tembelea

Comments

  1. Habari na nikitaka kujifunza namna ya kutengeneza glubiti itawezekana?

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

SOMO LA TATU : UTENGENEZAJI WA UNGA LISHE.

Mahindi   ni  miongoni  mwa  mazao ya  chakula  ambayo  unga  wake  unatumika  kutengeneza    unga  lishe. UNGA  LISHE  :  Ni  unga  bora  na  unao  hitajika  sana  katika  kuborehs  afya  za  watoto, wazee  na  wagonjwa.  Ukiwa  kama  mjasiriamali  mdogo, ni  muhimu  kujua  namna  ya  kutengeneza  unga  lishe, kwani  malighafi  zinazo  tumika  katika  utayarishaji  wa  unga  huu  zinapatikana  kwa  wingi  na  kwa  bei  nafuu, hivyo  basi  hata  kwa  wewe  mwenye  mtaji  mdogo,  unaweza   kufanya  biashara  hii   bila  ya  kuhitajika  kuwa  na  mtaji  mkubwa  jambo  linalo  chukuliwa  kama  changamoto  kwa  wajasiriamali wengi  nchini. MCHELE. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  UNGA  LISHE. * Karanga    - Nusu  Kilo. * Soya         - Nusu  Kilo. * Ulezi         -   Kilo  moja  na  Nusu. * Mahindi    -Nusu  Kilo *Mtama     - Mtama  Nusu  Kilo. * Uwele     -  Nusu  kilo. * Mchele    -  Nusu  kilo.. JINSI  YA  KUTENGENEZA  UNGA  LISHE . 1. S

NAFASI ZA KUJITOLEA SINGIDA

Taasisi  ya  ORPHANS  &  VULNARABLE   CHILDREN  CARE    (  OVCC  )  ya  Mjini  SINDIDA  inatangaza  nafasi  za  kazi  za  kujitolea  kama  ifuatavyo  : Picha  za  matukio  ya  shughuli  mbalimbali  za  Taasisi  ya OVCC.   1.       Miandi Secondary school:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-          (i) Physics               2          (ii) Chemistry           2          (iii) Biology              2          (iv) Geography         1          (v) Basic Mathematics. 2 2.         Puma Secondary School:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-         (i) Fnglish                        2         (ii) Physics                      3         (iii) Chemistry                  3                        (iv) Biology                      3         (v) Basic Mathematics     4 3.       Puma Dispensary:-     Volunteers wa Taaluma zifuatazo:-       (i) Taaluma ya Utabibu             8       (ii) Taaluma ya Kinga ya Afya   8

SOMO LA NANE : KUTENGENEZA WINE YA NANASI.

Nanasi.  Wine  ya  nanasi  ni  rahisi  kutengeneza  kwa  sababu  mananasi  yanapatikana  kwa  wingi  sana  katika  kipindi  kirefu  cha  mwaka. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  WINE  YA  NANASI. * Nanasi. *  Maji. * Sukari. * Amira. HATUA  YA  KWANZA  KUTENGENEZA *  Menye  maganda  ya  mananase  na  kupata  nyama . ( Kinacho  tumika  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenyewe  na  sio  maganda  ya  mananasi  ) *  Katakata  vipande  vidogo  kisha  weka  katika  chombo  kwa  ajili  ya  kuchemsha,  nanasi  linalo  faa  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenye  uzito  wa  kg. 5. * Chemsha  kwa  muda  wa  dakika  30  kwa  moto  wa  kawaida (  Inashauriwa  kutumia  moto  wa  mkaa  ) * Baada  ya  kupoa   anza kuchachua  kwa  kuweka  amira   vijiko  vinne (  4  )  vya  chakula ,  sukari  vijiko  viwili  vya  chai na  kisha  koroga  kwa  muda  wa  dakika  20. *  Acha  kwa  muda  wa  dakika  5  ukiwa  una