Skip to main content

ORODHA YA MAJINA YA WAJASIRIAMALI WA JIJINI DAR ES SALAAM WALIO JIANDIKISHA KATIKA MRADI WA ELIMU YA UJASIRIAMALI MIJINI NA VIJIJINI.

Yafuatayo  ni  majina   ya   vijana  wa  kitanzania  walio  jiandikisha  katika  awamu  ya  kwanza  ya   Mradi  wa  Elimu  ya Ujasiriamali  Mijini  &  Vijijini  "  EUMIVI   PROJECT. mbao  utaanza  rasmi  siku  ya  jumamosi  ya  tarehe  01  Septemba  2012   kuanzia  saa  nne  kamili  asubuhi  katika  Shule Ya  Msingi  Mlimani  iliyopo  katika  eneo  la  Chuo  Kikuu  Cha  Dar  Es  salaam.  Kwa  jijini  Dar  Es  salaam, mafunzo  yatachukua  siku  tatu, kuanzia  tarehe  01 Septemba  2012  hadi  tarehe 03 Septemba  2012. Baada  ya  hapo mradi  utaendelea  katika  miji  ya Arusha, Morogoro, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga  na Shinyanga

          ORODHA   HII  NI    KWA  WAOMBAJI   KUTOKA  JIJINI   DAR ES  SALAAM.

1.  MIRIAM  SYLLERSAID  MZIRAY
2. OTMARY   CHRISPIN  KIOWI.
3. MONICA   ELIAH  NG'ONA.
4.  SHEBA  SHAABAN.
5. FRIDA  EMMANUEL  MUGARULA.
6. AYUB  G.  KAYOMBO.
7.AMIRI  M.  MAGORWA.
8.  FRANK   KAYUMBA.
9.ELIZABETH   PATRICK.
10.   SHEHA   MOHAMED.
11. ROSEMARY  FAUSTIN  MAOKOLA.
12.  MAGRETH   GERWIN  FAYA.
13. DANIEL   A.  SWILA.
14.  MULIMBA  O.  RUYEMBE.
15. MWAJUMA  SHAMTE.
16.  SAMIA  SELEMANI.
17. MWANTUMU  SELEMANI  KALULU.
18. BEATRICE  MIROBO   CHISANYO.
19. HILDEGATH   HAULE.
20.  JOYCE   MAIGE  MGALAGANZA.
21.  DIANNA   R.  MTAITA.
22.LEOKADIA  KINGAMKONO  (  Tafadhali  Tujulishe  namba  yako  ya  simu  haraka  iwezekanavyo )
23.  MUGANYILE  E.  GABRIEL.
24.REHEMA  WILLIAM.
26.  MAGDALENA   R. SHAYO.
27. IBRAHIM  JUMA  OMAR.
28. SOPHIA  SELEMANI  ISSA. ( Tafadhali  tujulishe  namba  yako  ya  simu  haraka  iwezekanavyo O
29.  VICTORIA   ABDALLAH  MPOMA  (  Tafadhali  tujulishe  namba  yako  ya  simu  haraka  )
30. JANETH  ANDREW.
31. LILIAN  BAHATI  (  Tafadhali  tujulishe  namba  yako  ya simu  haraka  iwezekanavyo )
32.  YUSUFU   SAID  JADI.
33. TABU  RASHIDI   LWASSA.
34. MASUMBUKO  MANG'OMBE  JAMES.
35. HELENA  STEVEN  CHACHA.
36. FADHILI  H.  MOTTO.
37. RAMLA  H. MOTTO.
38. PETER  NGWANDU  MASALU.
_______________________________________________


Kwa  ambao  majina  yenu  yame orodheshwa  hapo  juu, mnatakiwa  kufika  katika  eneo  la  Shule  Ya  Msingi  Mlimani  iliyopo  katika  Chuo  Kikuu  Cha   Dar  Es  salaam, siku  ya  Jumamosi  ya  tarehe 01  Septemba  2012  saa   tatu  kamili  asubuhi  kwa  ajili  ya  Uzinduzi  wa Mradi  wa  Elimu  ya Ujasiriamali  Mijini  &  Vijijini "  EUMIVI  PROJECT "  ambapo  mafunzo  rasmi  ya  ujasiriamali katika  mradi  huu  yataanza.
Kufika  katika  eneo  la  tukio  (  Shule  Ya  Msingi  Mlimani )  : Panda  gari  za  Ubungo-Mwenge, mwambie  konda  akushushe  kwenye  kituo  kinaitwa   UDASA ukifika  hapo  UDASA   kama  unatokea  Mwenge  , tazama  upande  wako  wa  kushoto  na  kama  unatokea  Ubungo  tazama  upande  wako  wa  kulia ,utaiona  Shule  Ya  Msingi  Mlimani,  hapo  ndipo  yatakapo  kuwa  yanafanyika  mafunzo  haya..

Unashauriwa  kufika  na kitambulisho  chako,    kalamu  pamoja  na  daftari.  Kamera  hazita  ruhusiwa.

N.B: 1.  Kama  wewe    ni  mkazi  wa  jijini  Dar  Es  salaam,  na  ulituma  maombi  ya  kujiunga  katika  mradi  huu lakini  jina  lako  halionekani  hapo  juu. Tafadhali  wasiliana  nasi  haraka  iwezekanavyo  kabla  ya  tarehe  01  Septemba...
       2.  Kama  kuna  majina  ya  waombaji  kutoka  Dar  Es  salaam  yataongezeka, tutayaweka  hapa  bloguni  kabla  ya  tarehe  01  Septemba  2012.




                          KWA  WAOMBAJI  WA  MIKOANI : 
IFUATAYO  NI   RATIBA  YA   UZINDUZI  WA   AWAMU  YA  KWANZA  YA  MRADI  WA  MAFUNZO  YA  UJASIRIAMALI. MIJINI  & VIJIJINI  KATIKA  MIKOA  YA  ARUSHA, MOROGORO, KILIMANJARO, MWANZA, MBEYA  NA  DODOMA.

Kwa  waombaji  wa  mikoani,  ratiba  ya   awamu  ya  kwanza  ya   mafunzo  haya  itakuwa  kama  ifuatavyo :

                      1.   ARUSHA   ,  MOSHI  NA  MOROGORO
                    Mafunzo  yatafanyika    Tarehe   17, 18  na  19,  SEPTEMBA  2012...


                    2.    MWANZA,  MBEYA  NA   DODOMA
     
                Mafunzo  yatafanyika tarehe  27, 28  na  29, Septmba  2012.


Comments

Popular posts from this blog

SOMO LA TATU : UTENGENEZAJI WA UNGA LISHE.

Mahindi   ni  miongoni  mwa  mazao ya  chakula  ambayo  unga  wake  unatumika  kutengeneza    unga  lishe. UNGA  LISHE  :  Ni  unga  bora  na  unao  hitajika  sana  katika  kuborehs  afya  za  watoto, wazee  na  wagonjwa.  Ukiwa  kama  mjasiriamali  mdogo, ni  muhimu  kujua  namna  ya  kutengeneza  unga  lishe, kwani  malighafi  zinazo  tumika  katika  utayarishaji  wa  unga  huu  zinapatikana  kwa  wingi  na  kwa  bei  nafuu, hivyo  basi  hata  kwa  wewe  mwenye  mtaji  mdogo,  unaweza   kufanya  biashara  hii   bila  ya  kuhitajika  kuwa  na  mtaji  mkubwa  jambo  linalo  chukuliwa  kama  changamoto  kwa  wajasiriamali wengi  nchini. MCHELE. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  UNGA  LISHE. * Karanga    - Nusu  Kilo. * Soya         - Nusu  Kilo. * Ulezi         -   Kilo  moja  na  Nusu. * Mahindi    -Nusu  Kilo *Mtama     - Mtama  Nusu  Kilo. * Uwele     -  Nusu  kilo. * Mchele    -  Nusu  kilo.. JINSI  YA  KUTENGENEZA  UNGA  LISHE . 1. S

NAFASI ZA KUJITOLEA SINGIDA

Taasisi  ya  ORPHANS  &  VULNARABLE   CHILDREN  CARE    (  OVCC  )  ya  Mjini  SINDIDA  inatangaza  nafasi  za  kazi  za  kujitolea  kama  ifuatavyo  : Picha  za  matukio  ya  shughuli  mbalimbali  za  Taasisi  ya OVCC.   1.       Miandi Secondary school:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-          (i) Physics               2          (ii) Chemistry           2          (iii) Biology              2          (iv) Geography         1          (v) Basic Mathematics. 2 2.         Puma Secondary School:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-         (i) Fnglish                        2         (ii) Physics                      3         (iii) Chemistry                  3                        (iv) Biology                      3         (v) Basic Mathematics     4 3.       Puma Dispensary:-     Volunteers wa Taaluma zifuatazo:-       (i) Taaluma ya Utabibu             8       (ii) Taaluma ya Kinga ya Afya   8

SOMO LA NANE : KUTENGENEZA WINE YA NANASI.

Nanasi.  Wine  ya  nanasi  ni  rahisi  kutengeneza  kwa  sababu  mananasi  yanapatikana  kwa  wingi  sana  katika  kipindi  kirefu  cha  mwaka. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  WINE  YA  NANASI. * Nanasi. *  Maji. * Sukari. * Amira. HATUA  YA  KWANZA  KUTENGENEZA *  Menye  maganda  ya  mananase  na  kupata  nyama . ( Kinacho  tumika  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenyewe  na  sio  maganda  ya  mananasi  ) *  Katakata  vipande  vidogo  kisha  weka  katika  chombo  kwa  ajili  ya  kuchemsha,  nanasi  linalo  faa  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenye  uzito  wa  kg. 5. * Chemsha  kwa  muda  wa  dakika  30  kwa  moto  wa  kawaida (  Inashauriwa  kutumia  moto  wa  mkaa  ) * Baada  ya  kupoa   anza kuchachua  kwa  kuweka  amira   vijiko  vinne (  4  )  vya  chakula ,  sukari  vijiko  viwili  vya  chai na  kisha  koroga  kwa  muda  wa  dakika  20. *  Acha  kwa  muda  wa  dakika  5  ukiwa  una