Skip to main content

TANGAZO LA UFADHILI KWA WASANII CHIPUKIZI WA FILAMU NA MUZIKI


TANGAZO   LA  UFADHILI     KWA   WASANII   CHIPUKIZI  WA  FILAMU  NA  MUZIKI.
1.     Wewe  ni  msanii  chipukizi  wa  filamu au  maigizo ?
2.     Wewe  ni  mwandishi  chipukizi  wa  filamu  ?
3.     Wewe  ni  mtayarishaji  chipukizi  wa  filamu ?
4.     Wewe  ni  muimbaji / mwanamuziki  chipukizi 
 Unataka  kukamilisha  ndoto  zako  lakini  haujui  pa  kuanzia ?  Kama  jibu  ni  ndio  basi  hii  ni  habari  njema  sana  kwako.
Taasisi  ya  RafikiElimu  Foundation  inapenda  kuwatangazia  wananchi  wote  kuwa  sasa,  tumeanza  kutoa  ufadhili  na  udhamini  kwa   wasanii  chipukizi  wa  filamu, waandishi  chipukizi  wa  filamu, watayarishaji ( Producers )  chipukizi  wa   filamu   pamoja  na  waimbaji(wanamuziki ) chipukizi   wenye  sifa  zifuatazo :

1.      Awe  na  kipaji  cha  kuigiza  AU
2.     Awe  na  kipaji  cha  uandishi  wa  filamu   AU
3.     Awe  na  nia  thabiti  ya  kuwa  mtayarishaji  wa  filamu  AU
4.     Awe  na  kipaji  cha  uimbaji.
5.     Awe  raia  wa  Tanzania  na  mkaazi  wa  jijini  Dar  Es  salaam.
6.     Awe  na  umri  wa  kuanzia  miaka  14   hadi   55.
     
     UTARATIBU   WA  KUTUMA  MAOMBI  
Tuma  maombi  yako  kupitia  barua  pepe  yetu  ambayo  ni  : rafikielimutanzania@gmail.com   . Maombi  yaelekezwe  kwa
Mkurugenzi  Mtendaji,RafikiElimu  Foundation, S.L.P  35967,
Dar  Es  salaam.
   AU 

Unaweza  kuleta  maombi  yako  moja  kwa  moja  katika  ofisi  zetu. Ofisi  zetu  zipo  katika  eneo  la  CHANGANYIKENI  karibu  na  CHUO  CHA  TAKWIMU. 
Kufika  katika  ofisi zetu,  panda  daladala  za  UBUNGO- CHANGANYIKENI  kisha  shuka  kituo  cha  TAKWIMU  halafu  tembea  hatua  ishirini  mbele  kisha  tazama  upande  wako  wa  kulia  utaona  ofisi  imeandikwa  RAFIKIELIMU  FOUNDATION.

Mwisho  wa  kupokea  maombi  ni  tarehe  30  SEPTEMBA  2013.
Kwa  maelezo  zaidi   wasiliana  nasi  kwa  simu  0782405936  au  0756606085    

Comments

Popular posts from this blog

SOMO LA TATU : UTENGENEZAJI WA UNGA LISHE.

Mahindi   ni  miongoni  mwa  mazao ya  chakula  ambayo  unga  wake  unatumika  kutengeneza    unga  lishe. UNGA  LISHE  :  Ni  unga  bora  na  unao  hitajika  sana  katika  kuborehs  afya  za  watoto, wazee  na  wagonjwa.  Ukiwa  kama  mjasiriamali  mdogo, ni  muhimu  kujua  namna  ya  kutengeneza  unga  lishe, kwani  malighafi  zinazo  tumika  katika  utayarishaji  wa  unga  huu  zinapatikana  kwa  wingi  na  kwa  bei  nafuu, hivyo  basi  hata  kwa  wewe  mwenye  mtaji  mdogo,  unaweza   kufanya  biashara  hii   bila  ya  kuhitajika  kuwa  na  mtaji  mkubwa  jambo  linalo  chukuliwa  kama  changamoto  kwa  wajasiriamali wengi  nchini. MCHELE. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  UNGA  LISHE. * Karanga    - Nusu  Kilo. * Soya         - Nusu  Kilo. * Ulezi         -   Kilo  moja  na  Nusu. * Mahindi    -Nusu  Kilo *Mtama     - Mtama  Nusu  Kilo. * Uwele     -  Nusu  kilo. * Mchele    -  Nusu  kilo.. JINSI  YA  KUTENGENEZA  UNGA  LISHE . 1. S

NAFASI ZA KUJITOLEA SINGIDA

Taasisi  ya  ORPHANS  &  VULNARABLE   CHILDREN  CARE    (  OVCC  )  ya  Mjini  SINDIDA  inatangaza  nafasi  za  kazi  za  kujitolea  kama  ifuatavyo  : Picha  za  matukio  ya  shughuli  mbalimbali  za  Taasisi  ya OVCC.   1.       Miandi Secondary school:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-          (i) Physics               2          (ii) Chemistry           2          (iii) Biology              2          (iv) Geography         1          (v) Basic Mathematics. 2 2.         Puma Secondary School:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-         (i) Fnglish                        2         (ii) Physics                      3         (iii) Chemistry                  3                        (iv) Biology                      3         (v) Basic Mathematics     4 3.       Puma Dispensary:-     Volunteers wa Taaluma zifuatazo:-       (i) Taaluma ya Utabibu             8       (ii) Taaluma ya Kinga ya Afya   8

SOMO LA NANE : KUTENGENEZA WINE YA NANASI.

Nanasi.  Wine  ya  nanasi  ni  rahisi  kutengeneza  kwa  sababu  mananasi  yanapatikana  kwa  wingi  sana  katika  kipindi  kirefu  cha  mwaka. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  WINE  YA  NANASI. * Nanasi. *  Maji. * Sukari. * Amira. HATUA  YA  KWANZA  KUTENGENEZA *  Menye  maganda  ya  mananase  na  kupata  nyama . ( Kinacho  tumika  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenyewe  na  sio  maganda  ya  mananasi  ) *  Katakata  vipande  vidogo  kisha  weka  katika  chombo  kwa  ajili  ya  kuchemsha,  nanasi  linalo  faa  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenye  uzito  wa  kg. 5. * Chemsha  kwa  muda  wa  dakika  30  kwa  moto  wa  kawaida (  Inashauriwa  kutumia  moto  wa  mkaa  ) * Baada  ya  kupoa   anza kuchachua  kwa  kuweka  amira   vijiko  vinne (  4  )  vya  chakula ,  sukari  vijiko  viwili  vya  chai na  kisha  koroga  kwa  muda  wa  dakika  20. *  Acha  kwa  muda  wa  dakika  5  ukiwa  una