Skip to main content

Posts

Showing posts from February, 2013

NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU WA UJASIRIAMALI

                            NAFASI  ZA  MAFUNZO  YA  UALIMU  WA  UJASIRIAMALI. NAFASI ZA MAFUNZO NA KAZI    (    MARCH    2013     INTAKE    ) (   INTAKE  HII  NI  MAALUMU  KWA  WAOMBAJI  WANAOTAKA  KUWA  WAALIMU  WA  UJASIRIAMALI  KATIKA  MRADI  WA  ELIMU  YA  UJASIRIAMALI  MIJINI  &  VIJIJINI   KWENYE  WILAYA  WANAZO ISHI  ) Taasisi  ya    RafikiElimu  Foundation     inapenda  kuwatangazia  vijana  wa  kitanzania  nafasi  za  mafunzo  na  kazi  kama  ifuatavyo : KOZI  ITAKA YO  FUNDISHWA :      UALIMU  WA  UJASIRIAMALI. SIFA   ZA  MWOMBAJI  NAFASI : 1. Awe       mtanzania      mwenye    umri    wa    kuanzia    miaka    18  hadi    45. 2.Awe     na    elimu    ya    kuanzia  kidato  cha   nne,  sita  na  kuendelea. 3. Aliye   na     utashi    na malengo  ya  kufanya kazi    kama  MWALIMU  WA  UJASIRIAMALI  kwenye  Mradi  Wa  Elimu  Ya  Ujasiriamali  Mijini  &  Vijijini. 4. Anayeweza  kusoma  na  kuelewa  kwa  njia  ya  masafa  marefu.