Skip to main content

NAFASI ZA UANDISHI WA VITABU VYA KITAALUMA..

RafikiElimu  FOUNDATION   ni  TAASISI  isiyokuwa  ya  kiserikali  (  NGO )  inayo  jihusisha  na  Maendeleo  Ya  Jamii .  Taasisi  kupitiaa   mpango  wake   "  DISTANCE   LEARNING  PROGRAMME"   "  Mpango  Wa  Elimu  Ya  Masafa  Marefu  "   inatangaza  nafasi  za   UTAYARISHAJI  & UANDISHI  WA  VITABU  VYA  KITAALUMA.

SIFA  ZA  MWOMBAJI.

Awe  na  elimu, ujuzi, sifa  na  uwezo  wa  kuandaa na  kutayarisha   muswaada  wa  uandikaji  wa  kitabu   cha  kitaaluma  katika  moja  wapo  kati  ya  masomo  yafuatayo :


1.  Law

2.  Mass  Com  &  Journalism.

3. Community   Development.

4. Business  Administration.

5.  NGO  Studies.

6.  Beauty  &  Therapy   Studies .

7. Hotel  Management  &  Tourism.

8. Physical   Education.

9.  Enterpreneurship   Studies.

10.Vitabu  Vya  Masomo  kwa  Waalimu  Wa  Chekechea.

11. Gender  Studies.

12. Social  Researches

13. HIV/ AIDS  &  Counselling.

14. Environmental  Studies

15.  Refugee  Studies

16. Vitabu  Vya  Masomo  yote  ya  O-Level  kwa  mtaala  wa  masomo  ya  O-LEVEL kwa  miaka miwili.

17. Vitabu  Vya  Masomo  ya  A-LEVEL,  michepuo  ya   ARTS  kwa  mtaala wa  masomo ya  A-LEVEL  kwa  mwaka  mmoja.

MAJUKUMU :  Kuandaa  muswaada  wa  somo  husika  kwa  ajili ya  kuchapwa  kama  kitabu  cha  kutumika  katika  elimu  ya  masafa  marefu.


Tuma  maombi  yako  kwenda  kwa  :
Managing   Director,
RafikiElimu   FOUNDATION.
P.O. Box  35967,
DAR  ES  SALAAM.

Au  unaweza  kutuma  aombi  yako  kwa  njia  ya  barua  pepe  yetu  ambayo  ni  :

rafikielimutanzania@gmail.com.


Mwisho  wa  kupokea  maombi  ni  tarehe    07  DESEMBA  2012  .

N.B :  ( MUHIMU  SANA  )  :  Unapotuma  maombi  yako, weka  somo  unalotaka  kuliandikia  muswaada  wa  kitabu  kwenye  kichwa   cha  barua pepe  yako.

Comments

Popular posts from this blog

SOMO LA TATU : UTENGENEZAJI WA UNGA LISHE.

Mahindi   ni  miongoni  mwa  mazao ya  chakula  ambayo  unga  wake  unatumika  kutengeneza    unga  lishe. UNGA  LISHE  :  Ni  unga  bora  na  unao  hitajika  sana  katika  kuborehs  afya  za  watoto, wazee  na  wagonjwa.  Ukiwa  kama  mjasiriamali  mdogo, ni  muhimu  kujua  namna  ya  kutengeneza  unga  lishe, kwani  malighafi  zinazo  tumika  katika  utayarishaji  wa  unga  huu  zinapatikana  kwa  wingi  na  kwa  bei  nafuu, hivyo  basi  hata  kwa  wewe  mwenye  mtaji  mdogo,  unaweza   kufanya  biashara  hii   bila  ya  kuhitajika  kuwa  na  mtaji  mkubwa  jambo  linalo  chukuliwa  kama  changamoto  kwa  wajasiriamali wengi  nchini. MCHELE. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  UNGA  LISHE. * Karanga    - Nusu  Kilo. * Soya         - Nusu  Kilo. * Ulezi         -   Kilo  moja  na  Nusu. * Mahindi    -Nusu  Kilo *Mtama     - Mtama  Nusu  Kilo. * Uwele     -  Nusu  kilo. * Mchele    -  Nusu  kilo.. JINSI  YA  KUTENGENEZA  UNGA  LISHE . 1. S

NAFASI ZA KUJITOLEA SINGIDA

Taasisi  ya  ORPHANS  &  VULNARABLE   CHILDREN  CARE    (  OVCC  )  ya  Mjini  SINDIDA  inatangaza  nafasi  za  kazi  za  kujitolea  kama  ifuatavyo  : Picha  za  matukio  ya  shughuli  mbalimbali  za  Taasisi  ya OVCC.   1.       Miandi Secondary school:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-          (i) Physics               2          (ii) Chemistry           2          (iii) Biology              2          (iv) Geography         1          (v) Basic Mathematics. 2 2.         Puma Secondary School:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-         (i) Fnglish                        2         (ii) Physics                      3         (iii) Chemistry                  3                        (iv) Biology                      3         (v) Basic Mathematics     4 3.       Puma Dispensary:-     Volunteers wa Taaluma zifuatazo:-       (i) Taaluma ya Utabibu             8       (ii) Taaluma ya Kinga ya Afya   8

SOMO LA NANE : KUTENGENEZA WINE YA NANASI.

Nanasi.  Wine  ya  nanasi  ni  rahisi  kutengeneza  kwa  sababu  mananasi  yanapatikana  kwa  wingi  sana  katika  kipindi  kirefu  cha  mwaka. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  WINE  YA  NANASI. * Nanasi. *  Maji. * Sukari. * Amira. HATUA  YA  KWANZA  KUTENGENEZA *  Menye  maganda  ya  mananase  na  kupata  nyama . ( Kinacho  tumika  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenyewe  na  sio  maganda  ya  mananasi  ) *  Katakata  vipande  vidogo  kisha  weka  katika  chombo  kwa  ajili  ya  kuchemsha,  nanasi  linalo  faa  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenye  uzito  wa  kg. 5. * Chemsha  kwa  muda  wa  dakika  30  kwa  moto  wa  kawaida (  Inashauriwa  kutumia  moto  wa  mkaa  ) * Baada  ya  kupoa   anza kuchachua  kwa  kuweka  amira   vijiko  vinne (  4  )  vya  chakula ,  sukari  vijiko  viwili  vya  chai na  kisha  koroga  kwa  muda  wa  dakika  20. *  Acha  kwa  muda  wa  dakika  5  ukiwa  una