Skip to main content

NAFASI YA KUJITOLEA BABATI.






Picha  za  matukio  ya  shughuli  mbalimbali  za  Taasisi  ya  LATI  TANZANIA.
Look  After  Them  International,  ni  Taasisi  Isiyokuwa  ya  kiserikali  yenye  makao  yake  wilayani  Babati , mkoani  Manyara,  taasisi  inatangaza  nafasi  moja  ya  kazi  ya  kujitolea  katika  fani    ya   uhasibu.

Sifa:
1. Mwanaume.
2. Atakaye weza kujilipia gharama za chakula.
3.Atakayeweza kufanya kazi si chini ya mwaka mmoja.
4.Creative and Innovative.
5.Mvumilivu.
6.Team builder.
7.Christian.
Kazi:
1.Atapitia sera za fedha na kuziboresha.
2.Atafanya mlinganisho wa kibenki.
3.Ataandaa financial reports ya 2009,2010,2011,2012 by using international standards.
4.Atatoa report na ushauri kwa board.
5.Ataripoti kwa Katibu Mkuu.
6. Ataandaa donor's log book.
7. Atabuni na kutekeleza miradi ya kutunisha mfuko kwa kushirikiana na management.
Facilities.
1.Computer with Internet.
2.Office.
3.Accomodation meals exclusive.
4.Volunteers T-shirt.

N:B.He will be awarded a certificate of volunteering.

Important:
Akiandika mradi mzuri ukapata fedha allowance yake itakuwepo kwa kipindi cha kutekeleza mradi huo.

Tuma  maombi  yako  kupitia  barua  pepe  :     lati.tanzania@yahoo.com
kwenda  kwa 
KATIBU  MKUU,
LOOK  AFTER  THEM  INTERNATIONAL  ( TZ  )
S.L.P   341,
BABATI- MANYARA.

Contacts  : +255782093872, +255753843775

Comments

Popular posts from this blog

SOMO LA TATU : UTENGENEZAJI WA UNGA LISHE.

Mahindi   ni  miongoni  mwa  mazao ya  chakula  ambayo  unga  wake  unatumika  kutengeneza    unga  lishe. UNGA  LISHE  :  Ni  unga  bora  na  unao  hitajika  sana  katika  kuborehs  afya  za  watoto, wazee  na  wagonjwa.  Ukiwa  kama  mjasiriamali  mdogo, ni  muhimu  kujua  namna  ya  kutengeneza  unga  lishe, kwani  malighafi  zinazo  tumika  katika  utayarishaji  wa  unga  huu  zinapatikana  kwa  wingi  na  kwa  bei  nafuu, hivyo  basi  hata  kwa  wewe  mwenye  mtaji  mdogo,  unaweza   kufanya  biashara  hii   bila  ya  kuhitajika  kuwa  na  mtaji  mkubwa  jambo  linalo  chukuliwa  kama  changamoto  kwa  wajasiriamali wengi  nchini. MCHELE. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  UNGA  LISHE. * Karanga    - Nusu  Kilo. * Soya         - Nusu  Kilo. * Ulezi         -   Kilo  moja  na  Nusu. * Mahindi    -Nusu  Kilo *Mtama     - Mtama  Nusu  Kilo. * Uwele     -  Nusu  kilo. * Mchele    -  Nusu  kilo.. JINSI  YA  KUTENGENEZA  UNGA  LISHE . 1. S

NAFASI ZA KUJITOLEA SINGIDA

Taasisi  ya  ORPHANS  &  VULNARABLE   CHILDREN  CARE    (  OVCC  )  ya  Mjini  SINDIDA  inatangaza  nafasi  za  kazi  za  kujitolea  kama  ifuatavyo  : Picha  za  matukio  ya  shughuli  mbalimbali  za  Taasisi  ya OVCC.   1.       Miandi Secondary school:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-          (i) Physics               2          (ii) Chemistry           2          (iii) Biology              2          (iv) Geography         1          (v) Basic Mathematics. 2 2.         Puma Secondary School:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-         (i) Fnglish                        2         (ii) Physics                      3         (iii) Chemistry                  3                        (iv) Biology                      3         (v) Basic Mathematics     4 3.       Puma Dispensary:-     Volunteers wa Taaluma zifuatazo:-       (i) Taaluma ya Utabibu             8       (ii) Taaluma ya Kinga ya Afya   8

SOMO LA NANE : KUTENGENEZA WINE YA NANASI.

Nanasi.  Wine  ya  nanasi  ni  rahisi  kutengeneza  kwa  sababu  mananasi  yanapatikana  kwa  wingi  sana  katika  kipindi  kirefu  cha  mwaka. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  WINE  YA  NANASI. * Nanasi. *  Maji. * Sukari. * Amira. HATUA  YA  KWANZA  KUTENGENEZA *  Menye  maganda  ya  mananase  na  kupata  nyama . ( Kinacho  tumika  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenyewe  na  sio  maganda  ya  mananasi  ) *  Katakata  vipande  vidogo  kisha  weka  katika  chombo  kwa  ajili  ya  kuchemsha,  nanasi  linalo  faa  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenye  uzito  wa  kg. 5. * Chemsha  kwa  muda  wa  dakika  30  kwa  moto  wa  kawaida (  Inashauriwa  kutumia  moto  wa  mkaa  ) * Baada  ya  kupoa   anza kuchachua  kwa  kuweka  amira   vijiko  vinne (  4  )  vya  chakula ,  sukari  vijiko  viwili  vya  chai na  kisha  koroga  kwa  muda  wa  dakika  20. *  Acha  kwa  muda  wa  dakika  5  ukiwa  una