Skip to main content

Posts

Showing posts from November, 2012

NAFASI ZA UANDISHI WA VITABU VYA KITAALUMA..

RafikiElimu  FOUNDATION    ni  TAASISI   isiyokuwa  ya  kiserikali  (  NGO )  inayo  jihusisha  na  Maendeleo  Ya  Jamii .  Taasisi  kupitiaa   mpango  wake   "  DISTANCE   LEARNING  PROGRAMME"   "  Mpango  Wa  Elimu  Ya  Masafa  Marefu  "   inatangaza  nafasi  za   UTAYARISHAJI  & UANDISHI  WA  VITABU  VYA  KITAALUMA. SIFA  ZA  MWOMBAJI. Awe  na  elimu, ujuzi, sifa  na  uwezo  wa  kuandaa na  kutayarisha   muswaada  wa  uandikaji  wa  kitabu   cha  kitaaluma  katika  moja  wapo  kati  ya  masomo  yafuatayo : 1.  Law 2.  Mass  Com  &  Journalism. 3. Community   Development. 4. Business  Administration. 5.  NGO  Studies. 6.  Beauty  &  Therapy   Studies . 7. Hotel  Management  &  Tourism. 8. Physical   Education. 9.  Enterpreneurship   Studies. 10.Vitabu  Vya  Masomo  kwa  Waalimu  Wa  Chekechea. 11. Gender  Studies. 12. Social  Researches 13. HIV/ AIDS  &  Counselling. 14. Environmental  Studies 15.  Refugee  S

SOMO LA TISA : USINDIKAJI WA MAZAO YA NAFAKA

Mahindi  yaliyo  toka  kuvunwa. 1 .   USINDIKAJI  WA   ZAO  LA  MAHINDI : Ili kuongeza matumizi ya mazao hayo na kudumisha ubora wake ni muhimu teknolojia za kusindika nafaka zitumike. Usindikaji pia huongeza thamani ya zao.                             KUSINDIKA MAHINDI Punje za mahindi hutumika kupika makande na husindikwa kupata unga unaotumika katika matumizi mbalimbali. Vile vile bidhaa nyingine zinazotokana na mahindi ni mafuta na wanga. KUSINDIKA MAHINDI KUPATA UNGA Kuna aina mbili za unga wa mahindi, unga wa mahindi yasiyokobolewa(Dona) na unga wa mahindi yaliyokobolewa (Sembe)  KUSINDIKA MAHINDI KUPATA UNGA WA DONA Vifaa • Mashine ya kukoboa • Mashine ya kusaga • Ungo • Debe • Mifuko • Chekeche ya nafaka Jinsi ya kusindika • Pepeta na pembua mahindi ili kuondoa vumbi na takataka nyingine kwa kutumia chekeche, ungo au sinia. • Osha kwa maji safi na salama • Anika kwenye chekeche safi ili yakauke • Saga mahindi kupata unga • Fungasha

SOMO LA NANE : KUTENGENEZA WINE YA NANASI.

Nanasi.  Wine  ya  nanasi  ni  rahisi  kutengeneza  kwa  sababu  mananasi  yanapatikana  kwa  wingi  sana  katika  kipindi  kirefu  cha  mwaka. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  WINE  YA  NANASI. * Nanasi. *  Maji. * Sukari. * Amira. HATUA  YA  KWANZA  KUTENGENEZA *  Menye  maganda  ya  mananase  na  kupata  nyama . ( Kinacho  tumika  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenyewe  na  sio  maganda  ya  mananasi  ) *  Katakata  vipande  vidogo  kisha  weka  katika  chombo  kwa  ajili  ya  kuchemsha,  nanasi  linalo  faa  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenye  uzito  wa  kg. 5. * Chemsha  kwa  muda  wa  dakika  30  kwa  moto  wa  kawaida (  Inashauriwa  kutumia  moto  wa  mkaa  ) * Baada  ya  kupoa   anza kuchachua  kwa  kuweka  amira   vijiko  vinne (  4  )  vya  chakula ,  sukari  vijiko  viwili  vya  chai na  kisha  koroga  kwa  muda  wa  dakika  20. *  Acha  kwa  muda  wa  dakika  5  ukiwa  una 

SOMO LA SABA : UTENGENEZAJI WA WINE YA NDIZI

Wine  ya  Ndizi.  Wine  ya  ndizi  inatokana  na  ndizi  mbivu.  Aina  yoyote  ya  ndizi  ambayo  inaweza  kuwiva  inaweza  kutumika  kutengeneza  wine. Ili  wine  yako  iweze  kuwa  na  kilevi  ni  lazima  uichanganye  na  amira, usipoweka  amira  wine  yako  itakuwa  tamu  lakini  isiyokuwa  na  kilevi. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  WINE  YA  NDIZI. *  Ndizi   zilizo  iva  vizuri. * Maji *  Vyombo  vya  kuhifadhia. *  Amira * Sukari. HATUA  ZA  KUFUATA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  WINE  YA  NDIZI.                                                HATUA  YA  KWANZA : *  Chukua   ndizi  kg.3  zilizo  menywa  maganda  na  ambazo  zimeiva  vizuri, katakata   vipande  vidogo  na  weka  katika  chombo  ambacho  utatumia  kuchachulia  wine  yako. *  Baada  ya  kupata  hivyo  vipande  vidogo  vidogo , vichanganye  kwenye  maji  lita  ( 5 )  na   baada  ya  hapo  chemsha   kwa  muda  wa  dakika  30. * Acha  mchanganyiko  wako  huo  upoe.    

SOMO LA SITA : UTENGENEZAJI WA MANGO PICKLES

Mango  Pickles  MANGO  PICKLES     au    "  ACHARI  YA  EMBE   "  ni  chachandu  inayo  tumika  kunogesha  utamu  wa  chakula.   Malighafi  kuu  katika  utengenezaji  wa  "   MANGO  PICKLES "   ni  embe.                                   MATAYARISHO * Embe  zisafishwe  vizuri  kwa  kuosha  vizuri  kwa  kutumia  maji  masafi. ( Embe  zioshwe kabla  hazijamenywa ) * Embe  likatwe  katwe  vipande  bila  kuligusa  kokwa,  vipande  hivyo  viwekwe  kwenye  kichanja  baada  ya  kukatwa  katwa  na  vianikwe   juani  kwa  muda  wa  nusu  saa. *  Hifadhi  embe  zako  hizo  kwenye  chombo  kisafi, kwa  muda  wa  siku  tano.                      KUTENGENEZA  MANGO  PICKLES * Tayarisha  nyanya  robo  kilo, menya  maganda  na  katakata  vipande  vidogo. * Katakata  vitunguu    viwili   vikubwa. * Chumvi   vijiko  viwili  vya  chai. * Vinegar  _  kijiko  kimoja  cha  chai  kwa  ajili  ya  kuifanya  mango  pickle  yako  isiharibike. * Maji  ya  limao 

NAFASI ZA KU- VOLUNTEER DAR ES SALAAM.

 TANZANIA  SCIENCE  JOURNALISTS  ASSOCIATION,   inazo  nafasi  za  kazi  za  kujitolea     kama  ifuatavyo  : Requirements for Volunteers 1.)Have interest in writing science stories 2.)Be innovative on science technology and innovation stories 3.)Be committed                                             MAWASILIANO  YAO : Email address: tasja_11@hotmail.com Phone number: +255 715 600 568, +255 784 359555, +255 712 756046 Street address: P.O.BOX 10160 DAR ES SALAAM TANZANIA - E/AFRICA Mailing address: P.O.BOX 10160 DAR ES SALAAM, TANZANIA - E/AFRICA Contact name: GREYSON MUTEMBEI Contact title: PROGRAMME PRODUCER

NAFASI ZA KUVOLUNTEER WILAYA MBULU, MANYARA.

Taasisi  ya  SANU  ENGLISH    PRE &  PRIMARY  SCHOOL   ya  Wilayani  Mbulu, mkoani  Manyara  inazo  nafasi  za  kujitolea  kama  ifuatavyo  : 2Teachers – certificate in teaching from any institution A SCIENCE TEACHER,A MATHS TEACHER GRANT FOR CHILDREN DORMOTORIES AND GRAN FOR TEACHERS REMUNARATION FOR 3 YEARS We would like to have volunteers come for at least one semester   this will  allow for the best quality learning, if volunteers want to travel during the weekend doors are open to go to everywhere in the country Sanu English welcome your participation and idea Taswira  ya  SANU  ENGLISH  PRE & PRIMARY  SCHOOL. Maombi  yatumwe  kwa  : MANAGING  DIRECTOR, SANU  ENGLISH  PRE  &  PRIMARY  SCHOOLS P.O.Box   35, Mbulu  District, MANYARA.  proverbfour13@yahoo.com SIMU  :  +255784 928167

NAFASI YA KUJITOLEA BABATI.

Picha  za  matukio  ya  shughuli  mbalimbali  za  Taasisi  ya  LATI  TANZANIA. Look  After  Them  International ,  ni  Taasisi  Isiyokuwa  ya  kiserikali  yenye  makao  yake  wilayani  Babati , mkoani  Manyara,  taasisi  inatangaza  nafasi  moja  ya  kazi  ya  kujitolea  katika  fani    ya   uhasibu. Sifa: 1. Mwanaume. 2. Atakaye weza kujilipia gharama za chakula. 3.Atakayeweza kufanya kazi si chini ya mwaka mmoja. 4.Creative and Innovative. 5.Mvumilivu. 6.Team builder. 7.Christian. Kazi : 1.Atapitia sera za fedha na kuziboresha. 2.Atafanya mlinganisho wa kibenki. 3.Ataandaa financial reports ya 2009,2010,2011,2012 by using international standards. 4.Atatoa report na ushauri kwa board. 5.Ataripoti kwa Katibu Mkuu. 6. Ataandaa donor's log book. 7. Atabuni na kutekeleza miradi ya kutunisha mfuko kwa kushirikiana na management. Facilities. 1.Computer with Internet. 2.Office. 3.Accomodation meals exclusive. 4.Volunteers T-shirt. N:B .He will be awarded a certificate of v

SOMO LA TANO : UTENGENEZAJI WA TOMATO SOUCE.

Maandalizi  ya  utengenezaji  wa  Tomato  Souce. Tomato  Souce. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KWENYE  UTENGENEZAJI  WA  TOMATO  SOUCE. 1. Nyanya            Kg  1.5 (  Kilo  moja  na  nusu  ) 2.Vitunguu  Maji.      Vitatu  vilivyo  menywa  na  kukatwa  katwa  vipande. 3. Mafuta  ya  Kupikia     Vijiko  Sita  Vya  Chakula. 4. Sukari                        Vijiko  viwili  vya  chai. 5. Citric  Acid. 6.Vinegar.                          Vijiko  viwili  vya  chai. HATUA  ZA  KUFUATA  WAKATI  WA  UTENGENEZAJI  WA  TOMATO  SOUCE.  Tomato  Souce  iliyo  katika  hatua  za  maandalizi  1. Saga  mchanganyiko  wa  malighafi  zote  zilizo  tajwa  hapo  juu  kwa  pamoja  kwa  kutumia  mashine  ya  blender  mpaka  uwe  rojo  rojo. 2. Tenga  jiko  la  mkaa  lenye  moto  wa  wastani, kisha  injika kikaangio  kwenye  moto  halafu  weka  mafuta  ya  kupikia  vijiko  sita   vya  chakula. 3. Mafuta  yakianza  kuchemka , anza  kumimina  mchanganyiko  wako  huo  ndani  ya  kikaa

NAFASI ZA KUJITOLEA GEITA.

Taasisi  ya  BRIGHT  LIGHT  ORGANISATION  ya  Wilayani  GEITA   inatangaza  nafasi  za  kazi  za  kujitolea  kama  ifuatavyo : Picha  za matukio  ya  shughuli  mbalimbali  za  Taasisi  ya  BRIGHT  LIGHT  ORGANISATION  ya  wilayani  GEITA . 1:WALIMU  WAWILI  (ME na KE) ambao wanaweza kufundisha SCIENCE na ARTS,shule  ya  Sekondari. 2:-AFISA  MIRADI " Project  Officer  "  ambaye anaweza kubuni  na  kuandika  miradi  malimbali  yenye  tija  kwa  wafadhili. HUDUMA  TUTAKAZO  TOA.   Sisi  kama taasisi  ya  Bright  Light  Organisation  tutatoa  huduma  ya Chakula na malazi ,na itakuwa vizuri iwapo watakuwa tayari kuishi mazingira ya karibu na kituo chetu ili kuepuka gharama zisizo za lazima. Kama  una  sifa  hizo  hapo  juu  na  ungependa  kufanya  kazi  kama  mjitoleaji  katika  maeneo  tajwa  hapo  juu  kwenye  wilaya  ya  Geita,  andika   barua  yako  ya  maombi  kupitia    barua  pepe brightlightorg@yahoo.com Maombi  yatumwe  kwa :

NAFASI ZA KUJITOLEA SINGIDA

Taasisi  ya  ORPHANS  &  VULNARABLE   CHILDREN  CARE    (  OVCC  )  ya  Mjini  SINDIDA  inatangaza  nafasi  za  kazi  za  kujitolea  kama  ifuatavyo  : Picha  za  matukio  ya  shughuli  mbalimbali  za  Taasisi  ya OVCC.   1.       Miandi Secondary school:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-          (i) Physics               2          (ii) Chemistry           2          (iii) Biology              2          (iv) Geography         1          (v) Basic Mathematics. 2 2.         Puma Secondary School:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-         (i) Fnglish                        2         (ii) Physics                      3         (iii) Chemistry                  3                        (iv) Biology                      3         (v) Basic Mathematics     4 3.       Puma Dispensary:-     Volunteers wa Taaluma zifuatazo:-       (i) Taaluma ya Utabibu             8       (ii) Taaluma ya Kinga ya Afya   8