Skip to main content

NAFASI ZA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI

RafikiElimu   Foundation     wanatangaza  nafasi za  mafunzo  ya  ujasiriamali .  Mafunzo  yatakayo  tolewa  ni  pamoja  na  :
1.   Kutengeneza  sabuni
2.  Kutengeneza    chaki
3.Kutengeneza  mishumaa.
4.Kutengeneza   viatu  vya  ngozi.
5. Kutengeneza  mkaa  kwa  makaratasi.
6. Kutengeneza  batiki.
7. Uokaji  mikate
8. Usindikaji  wa   vyakula  na  vinywaji  pamoja  na
9.  Uongozi  wa   biashara.

WALENGWA   WAKUU  WA  MAFUNZOSIFA  ZA   WASHIRIKI
Ili  uweze  kupata   nafasi  ya  kushiriki  katika  mafunzo  haya  unatakiwa  uwe  na  sifa  zifuatazo:
1.  Uwe  raia  wa  Tanzania.
2. Uwe  na  umri  wa  kuanzia  miaka  16  na kuendelea
3. Uwe  unajua  kusoma  na  kuandika .

ADA  YA  KUSHIRIKI  KATIKA  MAFUNZO

Ada  ya  kushiriki  katika  mafunzo  haya  ni  shilingi   Elfu  Ishirini  na  Tano  Tu (  Tshs.  25,000/=)

MALIPO  YA  ADA
Malipo  ya  ada  ya  mafunzo  yafanyike  kupitia   CRDB  BANK,  Account  number 0152395997900 ,   Jina  la  Akaunti  ni    RAFIKI  ELIMU  FOUNDATION.


             Malipo  yafanyike  kabla  ya  tarehe   28  Agosti  2012

            TAREHE  YA      KUANZA  KWA  MAFUNZO
 Mafunzo  yataanza  rasmi  siku  ya  tarehe  01  Septemba  na  yatafanyika  katika  vituo  vya   Dar  Es  salaa,  Arusha, Moshi, Mwanza, Tanga, Morogoro,Mbeya   na  Dodoma.

Kujiandikisha   katika  mafunzo  haya,  tuma  barua  yako  ya  maombi  , ikiambatana  na  nakala  ya  cheti  chako  cha  kuzaliwa  ama   nakala  ya  kadi ya  mpiga  kura, pamoja  na  nakala  ya  risiti  ya  malipo  ya  ada  ya  mafunzo    kwenda  kwa  :
Mkurugenzi  Mtendaji,
RafikiElimu   Foundation,
S.L.P  35967,
Dar  Es  salaam.


Mwisho  wa    kupokea    maombi  ni  tarehe   28  Agosti  2012.
                                    

Comments

Popular posts from this blog

SOMO LA TATU : UTENGENEZAJI WA UNGA LISHE.

Mahindi   ni  miongoni  mwa  mazao ya  chakula  ambayo  unga  wake  unatumika  kutengeneza    unga  lishe. UNGA  LISHE  :  Ni  unga  bora  na  unao  hitajika  sana  katika  kuborehs  afya  za  watoto, wazee  na  wagonjwa.  Ukiwa  kama  mjasiriamali  mdogo, ni  muhimu  kujua  namna  ya  kutengeneza  unga  lishe, kwani  malighafi  zinazo  tumika  katika  utayarishaji  wa  unga  huu  zinapatikana  kwa  wingi  na  kwa  bei  nafuu, hivyo  basi  hata  kwa  wewe  mwenye  mtaji  mdogo,  unaweza   kufanya  biashara  hii   bila  ya  kuhitajika  kuwa  na  mtaji  mkubwa  jambo  linalo  chukuliwa  kama  changamoto  kwa  wajasiriamali wengi  nchini. MCHELE. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  UNGA  LISHE. * Karanga    - Nusu  Kilo. * Soya         - Nusu  Kilo. * Ulezi         -   Kilo  moja  na  Nusu. * Mahindi    -Nusu  Kilo *Mtama     - Mtama  Nusu  Kilo. * Uwele     -  Nusu  kilo. * Mchele    -  Nusu  kilo.. JINSI  YA  KUTENGENEZA  UNGA  LISHE . 1. S

NAFASI ZA KUJITOLEA SINGIDA

Taasisi  ya  ORPHANS  &  VULNARABLE   CHILDREN  CARE    (  OVCC  )  ya  Mjini  SINDIDA  inatangaza  nafasi  za  kazi  za  kujitolea  kama  ifuatavyo  : Picha  za  matukio  ya  shughuli  mbalimbali  za  Taasisi  ya OVCC.   1.       Miandi Secondary school:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-          (i) Physics               2          (ii) Chemistry           2          (iii) Biology              2          (iv) Geography         1          (v) Basic Mathematics. 2 2.         Puma Secondary School:-       Volunteers wa masomo yafuatayo:-         (i) Fnglish                        2         (ii) Physics                      3         (iii) Chemistry                  3                        (iv) Biology                      3         (v) Basic Mathematics     4 3.       Puma Dispensary:-     Volunteers wa Taaluma zifuatazo:-       (i) Taaluma ya Utabibu             8       (ii) Taaluma ya Kinga ya Afya   8

SOMO LA NANE : KUTENGENEZA WINE YA NANASI.

Nanasi.  Wine  ya  nanasi  ni  rahisi  kutengeneza  kwa  sababu  mananasi  yanapatikana  kwa  wingi  sana  katika  kipindi  kirefu  cha  mwaka. MALIGHAFI  ZINAZO  HITAJIKA  KATIKA  UTENGENEZAJI  WA  WINE  YA  NANASI. * Nanasi. *  Maji. * Sukari. * Amira. HATUA  YA  KWANZA  KUTENGENEZA *  Menye  maganda  ya  mananase  na  kupata  nyama . ( Kinacho  tumika  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenyewe  na  sio  maganda  ya  mananasi  ) *  Katakata  vipande  vidogo  kisha  weka  katika  chombo  kwa  ajili  ya  kuchemsha,  nanasi  linalo  faa  katika  utengenezaji  wa  wine  ya  nanasi  ni  nanasi  lenye  uzito  wa  kg. 5. * Chemsha  kwa  muda  wa  dakika  30  kwa  moto  wa  kawaida (  Inashauriwa  kutumia  moto  wa  mkaa  ) * Baada  ya  kupoa   anza kuchachua  kwa  kuweka  amira   vijiko  vinne (  4  )  vya  chakula ,  sukari  vijiko  viwili  vya  chai na  kisha  koroga  kwa  muda  wa  dakika  20. *  Acha  kwa  muda  wa  dakika  5  ukiwa  una